babacollins
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 901
- 212
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mchakato wa mabadiliko katika uendeshaji wa vilabu vya Simba na Yanga. Miongoni mwao mabadiliko hayo ni umiliki wa vilabu hivyo. Ni jambo zuri na la kupongezwa kwani linalenga katika kuleta mafanikio na maendeleo.
Jambo la msingi la kukumbuka ni kwamba kwa mfumo/aina yoyote ile ya umiliki au uendeshaji wa timu/klabu uongozi wenye maarifa na ujuzi wa kiuongozi katika utawala ndio msingi mkuu wa mafanikio na maendeleo.
Ni mimi mchezaji kiongozi.
Jambo la msingi la kukumbuka ni kwamba kwa mfumo/aina yoyote ile ya umiliki au uendeshaji wa timu/klabu uongozi wenye maarifa na ujuzi wa kiuongozi katika utawala ndio msingi mkuu wa mafanikio na maendeleo.
Ni mimi mchezaji kiongozi.