Mfumo wa Usafirishaji Daladala uendane ukuaji wa miji

Mfumo wa Usafirishaji Daladala uendane ukuaji wa miji

Joined
Aug 5, 2022
Posts
88
Reaction score
119
Miaka kadhaa nyuma tulipewa ushauri na mwana JF. Sijasahau hoja zile.

Alisema mambo mawili matatu.
Mosi, ukuaji uchumi wa nchi, pili kupambana na kero kwa wasafiri na mwisho kujenga taswira na mvuto kwenye uwekezaji.

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, mabadiliko kwenye uwekezaji Kwa maana ya coaster, na madaladala makubwa mjini yanakuwa kama kampuni. Hii itawaondoa wenye daladala mojamoja ambao Kwa kweli hapa ndipo vita ilipo. Nakumbuka Mzee jakaya alisema watu wanajitafutia rizki akiungwa mkono na wanachama wa wamiliki wa mabas hayo jijini DSM.

Ikumbukwe matumizi ya hiarce yalipoishia mijini, hizi daladala haziwez kwisha Kwa mtindo ule.

Angalia majiji kama Mumbai India mrundikano wa watu, bajaji, pikipiki, machinga, wauza nyanya nk wote wamejaa eneo Moja, barabarani si bajaji, si nini ni adha kubwa, ajali ni nyingi Sana India.

Taswira mbaya Sana kati ya Mumbai, Lagos nk.

New York siichukulii kama mfano sahihi lkn Angalia miji ambayo wanatumia makampuni kusafirisha abiria mijini, hupati daladala huko. Sio Lazima kufanya hii kitu nchi nzima, sampo yajiji kama DSM, Arusha,mwanza nk Ili watakao ondondolewa na Ile force waendee miji mingine.

Kwa mfano. Kampuni X inachukua route zake kadhaa. Jijini DSM, Watafungua ofisi tukakate tiketi/KADI . Kwamfn KADI ya mwezi mzima. Hii ni safi Sana Kwa wafanyakazi, wafanyabiashara Kwa kuwa watakuwa na uhakika wa kusafiri mwezi mzima. Hii wengine watatengeneza electronic card. Tunaswarp tu hakuna cha kondakta.

Kule tukuyu, misenyi,kahamia,mikindani makondaktra na daladala zitakuwa huko. Nk.

Hiki ndicho alichoshauri mwana JF yule.
 
Hapo hapo chukulia mfano hiyo kampuni iamue kugoma
 
Ii usajiliwe Kuna vigezo, kama unajua Pana makampuni duniani yanatafuta hizi nafasi.

Kwa experience yangu. Moja na sharti Kwa wale wenzetu ni lazima basi liwe safi na huduma zote ziweni. Kila baada ya Muda flan unabadilisha magari yako.

Ndg yangu Moja ya mabasi yanayobadilishwa na kutupwa kama screpers ni haya unayoyaona Miaka flan yalikuwa yanatupwa Africa, Siku hizi kuna Sheria hayaji huku.
 
Ukitangaza hii huduma huko duniani, waTanzania labda balesa ataweza. Walishauriwa wenye daladala waungane wawe na mabasi mia 100 iwe kama kampuni.
 
Siku Moja Kaa sehemu Kwa dakika 5 tu Angalia daladala zinazopita zikiwa zimejaza watu(abiria) jijini dar es salaam, inatia huzuni Sana.

Kwa wale wanaotumia usafiri binafsi, jitahidi upande milango ya saa Moja asb au saa Moja jioni. Ni hatar Sana kuishi maisha ya namna hii miaka hii am apo mambo yamebadilika.

Abiria wanaotoka kibaha watakuwa mashahidi na ushuhuda faida ya mwendokasi.

Cha muhiyninjubadili mfumo na haya mazoea ya kutumia daladala kubanana.

Nilisafiri marakadhaa nikaangaliana na dada Mmoja, matiti hakiwa kwangu na kwa.kuwa nguo zao ni nyepesi mapajani, nikahisi kabisa kunyandua MTU, m b.ooo ilisimama nikageukia Kwa mchiz mmoja, akagundua mlingoti chuma umewaka moto. Nikamwambia asiogope nimemkwepa bidada asije akadai fidia
 
Mwendokasi duniani kote haiendeshwi na kampuni binafsi. Mtu binafsi anataka faida bila kujali anavyokuweka kituoni serikali inakosa mapato Kwa watu kushindwa kuzalisha. Ili usafiri uwe Bora serikali iingilie kati na kumrudisha usafiri mikononi kwake
 
Siku Moja Kaa sehemu Kwa dakika 5 tu Angalia daladala zinazopita zikiwa zimejaza watu(abiria) jijini dar es salaam, inatia huzuni Sana.

Kwa wale wanaotumia usafiri binafsi, jitahidi upande milango ya saa Moja asb au saa Moja jioni. Ni hatar Sana kuishi maisha ya namna hii miaka hii am apo mambo yamebadilika.

Abiria wanaotoka kibaha watakuwa mashahidi na ushuhuda faida ya mwendokasi.

Cha muhiyninjubadili mfumo na haya mazoea ya kutumia daladala kubanana.

Nilisafiri marakadhaa nikaangaliana na dada Mmoja, matiti hakiwa kwangu na kwa.kuwa nguo zao ni nyepesi mapajani, nikahisi kabisa kunyandua MTU, m b.ooo ilisimama nikageukia Kwa mchiz mmoja, akagundua mlingoti chuma umewaka moto. Nikamwambia asiogope nimemkwepa bidada asije akadai fidia
Pole Sana Mkuu! Hukuhisiwa kwamba Wewe ni Dunga Dunga... Maana Mara umesomake G5 baada ya kugusana TU na Bidada ndani ya Daladala??
 
Back
Top Bottom