Mfumo wa wengi wape ni mfumo wa ajabu sana

Mfumo wa wengi wape ni mfumo wa ajabu sana

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Mfumo wa wengi wape kupitia sanduku la kura ni mfumo wa hovyo samahani kwa kusema hivi.

Mfano wa Tanzania wananchi wengi wa Tanzania ni wajinga wajinga huwezi tegemea kundi kubwa la watu wajinga wajinga wakachagua kilicho bora kwao.

Watu wasiojua uelekeo wa dunia, watu waliozalishwa na mfumo mbovu wa elimu, watu walioathirika na mapokeo mabovu ya kiimani, watu walioathirika na ushabiki wa hovyo wa vyama vya kisiasa uwezo wao wa kufikiri kuhusu dunia na uelekeo wake kwa mapana lazima uwe hafifu sasa huwezi tegemea watu wa namna hii watachagua kilicho bora kwa ajili ya taifa na dunia kwa ujumla.

Huu mfumo wa wengi wape hauna maana kama hao wengi ni wapumbavu lazima watachagua mpumbavu mwenzao mmoja na kuleta maafa.

Hii hali inatokea sasa marekani ndio maana kuna wakati nawaelewa wachina pamoja ya kwamba sikubaliani na mfumo wao ila angalau wanajua nini maana ya siasa na uongozi.

Trump ni zao la wamarekani wengi wajinga kupewa uwezo wa kutoa maamuzi kupitia sanduku la kura.

Kutokukubaliana na mfumo huu haimaanishi nakubaliana na mfumo huu wa CCM.

Naona meritocracy inaweza kuwa chaguzi bora kuliko huu upuuzi wa wengi wape kupitia sanduku la kura.
 
....na kwa kukazia, wanasema "chaguo/sauti ya wengi ni chaguo/sauti ya Mungu" ; wanasahau Mungu hana ushirika na wapumbavu hata kama wakiwa wengi..!
 
Kuna washenzi wajinga wajinga mahalo furani wanagomea ujenzi wa soko la kisasa eti kisa wataondokaje wataishije,sasa wqjinga kama hawa ukiwasikiliza mambo ya msingi na ya maana lazima ya kwame eti kisa wengi.
Pumbafu.

Napenda demokrasia ila lazima tufanye vetting za kutosha kwaviongozi wetu sio mtu felia 4m4 mna mpa urais pumbafu kabisa.
 
Mfumo wa wengi wape kupitia sanduku la kura ni mfumo wa hovyo samahani kwa kusema hivi.

Mfano wa Tanzania wananchi wengi wa Tanzania ni wajinga wajinga huwezi tegemea kundi kubwa la watu wajinga wajinga wakachagua kilicho bora kwao.

Watu wasiojua uelekeo wa dunia, watu waliozalishwa na mfumo mbovu wa elimu, watu walioathirika na mapokeo mabovu ya kiimani, watu walioathirika na ushabiki wa hovyo wa vyama vya kisiasa uwezo wao wa kufikiri kuhusu dunia na uelekeo wake kwa mapana lazima uwe hafifu sasa huwezi tegemea watu wa namna hii watachagua kilicho bora kwa ajili ya taifa na dunia kwa ujumla.

Huu mfumo wa wengi wape hauna maana kama hao wengi ni wapumbavu lazima watachagua mpumbavu mwenzao mmoja na kuleta maafa.

Hii hali inatokea sasa marekani ndio maana kuna wakati nawaelewa wachina pamoja ya kwamba sikubaliani na mfumo wao ila angalau wanajua nini maana ya siasa na uongozi.

Trump ni zao la wamarekani wengi wajinga kupewa uwezo wa kutoa maamuzi kupitia sanduku la kura.

Kutokukubaliana na mfumo huu haimaanishi nakubaliana na mfumo huu wa CCM.

Naona meritocracy inaweza kuwa chaguzi bora kuliko huu upuuzi wa wengi wape kupitia sanduku la kura.
Usijekuta katika wajinga wajinga na wewe ni mmoja wapo. Lazima tukupe haki yako ya maoni.
 
Kuna washenzi wajinga wajinga mahalo furani wanagomea ujenzi wa soko la kisasa eti kisa wataondokaje wataishije,sasa wqjinga kama hawa ukiwasikiliza mambo ya msingi na ya maana lazima ya kwame eti kisa wengi.
Pumbafu.

Napenda demokrasia ila lazima tufanye vetting za kutosha kwaviongozi wetu sio mtu felia 4m4 mna mpa urais pumbafu kabisa.
Wewe mwenye akili unaweza kufanya nini cha maana? Mbona nawe waonekana una akili kama ya mende tu ya kula kwenye kabati na kulala kwenye karo la maji machafu?
 
Wewe mwenye akili unaweza kufanya nini cha maana? Mbona nawe waonekana una akili kama ya mende tu ya kula kwenye kabati na kulala kwenye karo la maji machafu?
Mtu mjinga mjinga hapaswi kuongoza population ya watu miln 60+ uongozi sio vikundi vya taarab vya kutupiana mipasho ukweli ni huo na daima utabaki hivyo.

Wewe mwenyewe ukiwatazama CCM na marafiki zao wa kujikomba CCP unajua mwenyewe lipi ni kundi la wehu na kipi ni chama cha watu wenye akili.
 
Napenda demokrasia ila lazima tufanye vetting za kutosha kwaviongozi wetu sio mtu felia 4m4 mna mpa urais pumbafu kabisa.
Mtu anaweza aside na elimu kubwa lakini akawa kiongozi mzuri na pia,mtu anaweza akawa na elimu kubwa akawa si kiongozi mzuri
 
Mtu mjinga mjinga hapaswi kuongoza population ya watu miln 60+ uongozi sio vikundi vya taarab vya kutupiana mipasho ukweli ni huo na daima utabaki hivyo.

Wewe mwenyewe ukiwatazama CCM na marafiki zao wa kujikomba CCP unajua mwenyewe lipi ni kundi la wehu na kipi ni chama cha watu wenye akili.
Huu ni ukweli, hata watu walie machozi ya damu ukweli huu haubadiliki, asilimia kubwa ya wananchi ni wajinga na malofa! sasa Hawa malofa ndio wanachagua empty set akabebe maono ya taifa kulipekeka kwenye Dunia yenye ushindani mkubwa wa kiuchumi na technolojia...matokeo yake ni ufisadi mtupu, umaskini na uchawa!
 
Huu ni ukweli, hata watu walie machozi ya damu ukweli huu haubadiliki, asilimia kubwa ya wananchi ni wajinga na malofa! sasa Hawa malofa ndio wanachagua empty set akabebe maono ya taifa kulipekeka kwenye Dunia yenye ushindani mkubwa wa kiuchumi na technolojia...matokeo yake ni ufisadi mtupu, umaskini na uchawa!
Kazi kweli kweli
 
Mtu mjinga mjinga hapaswi kuongoza population ya watu miln 60+ uongozi sio vikundi vya taarab vya kutupiana mipasho ukweli ni huo na daima utabaki hivyo.

Wewe mwenyewe ukiwatazama CCM na marafiki zao wa kujikomba CCP unajua mwenyewe lipi ni kundi la wehu na kipi ni chama cha watu wenye akili.
Mjinga ni nani sasa? Hebu nenda ukatawaze halafu ukatiwe
 
Dahhh.....
Hizi headings zingine miwe mnajaribu kuzinyima ukali wa maneno mkuu, maana mie nimekuja nduki nikijua mambo yetu yaleeee.....😋😋
 
Mfumo wa wengi wape kupitia sanduku la kura ni mfumo wa hovyo samahani kwa kusema hivi.

Mfano wa Tanzania wananchi wengi wa Tanzania ni wajinga wajinga huwezi tegemea kundi kubwa la watu wajinga wajinga wakachagua kilicho bora kwao.

Watu wasiojua uelekeo wa dunia, watu waliozalishwa na mfumo mbovu wa elimu, watu walioathirika na mapokeo mabovu ya kiimani, watu walioathirika na ushabiki wa hovyo wa vyama vya kisiasa uwezo wao wa kufikiri kuhusu dunia na uelekeo wake kwa mapana lazima uwe hafifu sasa huwezi tegemea watu wa namna hii watachagua kilicho bora kwa ajili ya taifa na dunia kwa ujumla.

Huu mfumo wa wengi wape hauna maana kama hao wengi ni wapumbavu lazima watachagua mpumbavu mwenzao mmoja na kuleta maafa.

Hii hali inatokea sasa marekani ndio maana kuna wakati nawaelewa wachina pamoja ya kwamba sikubaliani na mfumo wao ila angalau wanajua nini maana ya siasa na uongozi.

Trump ni zao la wamarekani wengi wajinga kupewa uwezo wa kutoa maamuzi kupitia sanduku la kura.

Kutokukubaliana na mfumo huu haimaanishi nakubaliana na mfumo huu wa CCM.

Naona meritocracy inaweza kuwa chaguzi bora kuliko huu upuuzi wa wengi wape kupitia sanduku la kura.
Amini amini nakwambia trump bi bora kuliko yule mwanamama Harris. Yule mwanamama ni mweupe sana sana we fuatilia interview zake hata hakuna alikuwa anajibu na nyingi ziko edited.
 
Back
Top Bottom