Mfumuko wa Bei: Bei ya nyama imepanda Tsh 8,500 kwa kilo 1

Mfumuko wa Bei: Bei ya nyama imepanda Tsh 8,500 kwa kilo 1

Mida hii natoka job of course ni weekend so nikajipitisha mitaa ya tegeta nakuta Bei ya nyama ya ng'ombe imepanda kutoka 7000-8500 nikakakausha nikajua mbezi Bei itakuwa pungufu.

Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.

Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga,tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu,tozo ya majengo,tozo kwenye mishahara,tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya ,tozo ya usafi majumbani,tozo ya tozo

Nimehakikishiwa kuwa kuanzia Sasa vyakula vitapanda Bei Sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi

USSR
hivi kumbe hata nyie MaCCM mnaathirika na mfumuko huu wabei ulisababishwa na CCM ????
 
Mida hii natoka job of course ni weekend so nikajipitisha mitaa ya tegeta nakuta Bei ya nyama ya ng'ombe imepanda kutoka 7000-8500 nikakakausha nikajua mbezi Bei itakuwa pungufu.

Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.

Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga,tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu,tozo ya majengo,tozo kwenye mishahara,tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya ,tozo ya usafi majumbani,tozo ya tozo

Nimehakikishiwa kuwa kuanzia Sasa vyakula vitapanda Bei Sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi

USSR
wewe si hua muimba mapambio siku zote subiri dawa ikuingie tena wapandishe mpaka ifike 15,000/kg ndo itakua bombaaaaaaa
 
Mida hii natoka job of course ni weekend so nikajipitisha mitaa ya tegeta nakuta Bei ya nyama ya ng'ombe imepanda kutoka 7000-8500 nikakakausha nikajua mbezi Bei itakuwa pungufu.

Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.

Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga,tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu,tozo ya majengo,tozo kwenye mishahara,tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya ,tozo ya usafi majumbani,tozo ya tozo

Nimehakikishiwa kuwa kuanzia Sasa vyakula vitapanda Bei Sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi

USSR
Fala wewe acha lawama za kike
 
Mleta mada waambie MATAGA wenzio sisi wengine tulisha waambia chama chenu hakina nia njema na maisha ya mtanzania wa kima cha chini mlileta porojo na ujuaji.
Sasa tusome namba kwa pamoja kimya kimya..!
 
Baada ya muda afya za watanzania wengi zitakuwa dhoofu sana.cjui tukimbilie wapi
 
Mida hii natoka job of course ni weekend so nikajipitisha mitaa ya tegeta nakuta Bei ya nyama ya ng'ombe imepanda kutoka 7000-8500 nikakakausha nikajua mbezi Bei itakuwa pungufu.

Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.

Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga,tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu,tozo ya majengo,tozo kwenye mishahara,tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya ,tozo ya usafi majumbani,tozo ya tozo.

Nimehakikishiwa kuwa kuanzia Sasa vyakula vitapanda Bei Sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi.

USSR
Mbaya zaidi hataki kusikia suala la kutuondolea haya makodi uchwara.

Tumemchoka.
 
CCM mbele kwa mbele. Mi nilijua wakereketwa haiwagusi!!
Mida hii natoka job of course ni weekend so nikajipitisha mitaa ya tegeta nakuta Bei ya nyama ya ng'ombe imepanda kutoka 7000-8500 nikakakausha nikajua mbezi Bei itakuwa pungufu.

Nafika mbezi jirani kabisa na home ambapo huwa nanunua nikakuta Bei imepanda na wao wanauza8500 nilivyouliza wakasema ni sababu ya gharama za mafuta zimepanda hasa ongezeko la Kodi kwenye mafuta ya mgari.

Kodi imeitwa tozo kijanjajanja ilikupumbaza wajinga,tozo ya mafuta ya kula,tozo ya mbolea,tozo ya miamala ya simu,tozo ya majengo,tozo kwenye mishahara,tozo kwenye voucher za simu, tozo za application za simu,tozo ya bima za afya ,tozo ya usafi majumbani,tozo ya tozo.

Nimehakikishiwa kuwa kuanzia Sasa vyakula vitapanda Bei Sana maana usafiri imepanda na pia vifaa vya ujenzi.

USSR
 
Back
Top Bottom