Huo ni uongo bei niliyokuambia ni uhakika hata ukienda kesho mkuu!Daaaah shopper market huku kwetu hakuna mzee.
Afu niliambiwa ata huko supermarkets mwisho kilo tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni uongo bei niliyokuambia ni uhakika hata ukienda kesho mkuu!Daaaah shopper market huku kwetu hakuna mzee.
Afu niliambiwa ata huko supermarkets mwisho kilo tatu
Inaelekea mwaka wa tano sasa wakaazi walioko mkoani Kagera cement imekuwa ikiuzwa shilingi 21,500/= sasa sijui miaka yote hicho kiwanda kilikuwa kwenye matengenezo au la!Tatizo lenu nafikiri ama hamsomi taarifa za nchi hii au mko nje ya nchi hii mbona ilisemwa kuwa kiwanda cha Dangote kitafugwa kwa matengenezo na katikati ya Nov kitaanza tena hivyo cement itakuwa nyingi kama kawaida! Sijui mtajifungia wapi? Sukari bei ni kati ya 2,500 na 2,700. Uongo wenu ndiyo maana watz wanawadharau wanawanyima kura sasa kwa sababu ya uongo wenu.
Kwa hiyo atoke temeke afuate sukari mbezi beach? Ukiongeza nauli na muda inakuwa bei gani?Hiyo ni Dar nenda Shoppers Supermarket Mbezi Beach nanunulia hapo kila mara mkuu!
Mimi nilitaka kumwonyesha kuwa anachosema ni uongo bei ya sukali siyo bei kama alivyodai kuwa ni shs 5,000!!Kwa hiyo atoke temeke afuate sukari mbezi beach? Ukiongeza nauli na muda inakuwa bei gani?
Kwa nini isipatikane maeneo yote kwa bei hiyo? Nini maana ya kusogeza huduma kwa walaji?
Kabisa mkuu yani mtu usipojenga ni ulofa wako maana cement haijawahi kuwa chinikama kipindi hiki.Yamesemwa na ritha minja ambaye ni mkurugenzi wa sensa za twakimu na jamii. Hiyo ni kwa mwezi October
Source: TBC online
My take
Tumpongeze rais kwa juhudi maana vitu vipi chini kwa kuanzia cement hadi sukari
Uzzuri ni kwamba wao hata hawana habari, pale wanavuta zaidi ya milioni 12 kwa mwezi hawawezi jua kuhusu ongezeko la mfumuko huo.Cement inagonga elf30 kwa Sasa
maisha yamekua magumu mara 70 zaid ya miaka ya 2014
Mbona kabla hata ya kujengwa kiwanda cha Dangote cement haikuwahi kufika huko, iweje matengenezo tu cement imefika huko? Halafu acha uongo, jana nimeona taarifa ya habari mkuu wa mkoa kaendakiwandani anawamaindi kuwa kwanini hawakuwa wametoa report kwenye vyombo vya habari kuhusu kusimamakwa uzalishaji kwa ajili ya matengenezo.Tatizo lenu nafikiri ama hamsomi taarifa za nchi hii au mko nje ya nchi hii mbona ilisemwa kuwa kiwanda cha Dangote kitafugwa kwa matengenezo na katikati ya Nov kitaanza tena hivyo cement itakuwa nyingi kama kawaida! Sijui mtajifungia wapi? Sukari bei ni kati ya 2,500 na 2,700. Uongo wenu ndiyo maana watz wanawadharau wanawanyima kura sasa kwa sababu ya uongo wenu.
2500 kutoka 1800Bei ya sukari 2500 Ni Zanzibar sio huku.
Kumwonesha[emoji3582]Mimi nilitaka kumwonyesha kuwa anachosema ni uongo bei ya sukali siyo bei kama alivyodai kuwa ni shs 5,000!!
Sasa wewe ulitaka tuendelee kuwa hapo hapo? Maendeleo ni pamoja na bei kupanda na wananchi kuwa na uwezo wa kulipa. Yaani kipato kimepanda pia. Hivyo watz kwa sasa wanauwezo wa kulipa 2500 kwa kuwa kipato chao kimepanda ndiyo maana tuko kwenye nchi ya kipato cha kati!2500 kutoka 1800
Ulizia Bei ya sukari Zanzibar
Kwani tuko kwenye mtihani wa kiswahili mkuu? Hope umeelewa nilikuwa na maana gani.Kumwonesha[emoji3582]
Kumuonesha[emoji3581]
Sukali[emoji3582]
Sukari[emoji3581]
Sijui hata shule kama mmewahi kupita nyie misukule!
Kwahiyo tunywe bia? Basi wacha watu wanywe bia!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Kreti ya bia ni Bei rahisi kuliko mfuko wa saruji a.k.a cement
Eti ananunulia SUKALI shoppers. Kuna shule ya ujinga wanayosomea wapiga makofi.Kumwonesha[emoji3582]
Kumuonesha[emoji3581]
Sukali[emoji3582]
Sukari[emoji3581]
Sijui hata shule kama mmewahi kupita nyie misukule!
Tra kutaka kuweka rekodi ya makusanyo wanapandisha kodi, muuzaji nae anapandisha bei ya bidhaa ili apate faida- maumivu kwa mlaji wa mwisho (wanannchi wa tanzania)Yule alieitwa Mshamba na akina Kinana anasema wapinzani wwnachelewesha maendeleo.
Madhara ya SARUJI kupanda ni.
1. Mfumuko wa kodi.
2. Ongezeko la vifaa vyote vya ujenzi nk.
Watanzania sis wajinga tulikataa bei ya 5000 ya Dangote, wapinzani walichelewesha.
CCM ilaaniwe.
Hahahaha daah Kuna watu mnasikitisha Sana haki ya mungu.Sasa wewe ulitaka tuendelee kuwa hapo hapo? Maendeleo ni pamoja na bei kupanda na wananchi kuwa na uwezo wa kulipa. Yaani kipato kimepanda pia. Hivyo watz kwa sasa wanauwezo wa kulipa 2500 kwa kuwa kipato chao kimepanda ndiyo maana tuko kwenye nchi ya kipato cha kati!
Tuna misukule mingiNitafurahi sana siku wabunge wetu watakapokua wanachangia suala la mfumu
Eti ananunulia SUKALI shoppers. Kuna shule ya ujinga wanayosomea wapiga makofi.
Siwezi kuwa mkuu kwa mtu mpuuzi kama wewe. Usijiweke kwenye cycle yangu bora nimuweke mbwa kwemye cycle yangu kuliko "Jitu" puuzi kama wewe.Kwani tuko kwenye mtihani wa kiswahili mkuu? Hope umeelewa nilikuwa na maana gani.