Mfumuko wa bei ni 3.1% Tanzania

Mfumuko wa bei ni 3.1% Tanzania

Sasa wewe ulitaka tuendelee kuwa hapo hapo? Maendeleo ni pamoja na bei kupanda na wananchi kuwa na uwezo wa kulipa. Yaani kipato kimepanda pia. Hivyo watz kwa sasa wanauwezo wa kulipa 2500 kwa kuwa kipato chao kimepanda ndiyo maana tuko kwenye nchi ya kipato cha kati!
Hivi wewe jamaa mbona huna akili kiasi hiki? Kupanda bei kwa bidhaa ni maendeleo?
 
Yamesemwa na ritha minja ambaye ni mkurugenzi wa sensa za twakimu na jamii. Hiyo ni kwa mwezi October

Source: TBC online

My take
Tumpongeze rais kwa juhudi maana vitu vipi chini kwa kuanzia cement hadi sukari
Twambie hiyo inamaana gani. Na tueleze ni mfumko upi wa bei unaofaa na upi haufai?
 
Hiyo ni Dar nenda Shoppers Supermarket Mbezi Beach nanunulia hapo kila mara mkuu!
WEE naye una akili ya kuvukia barabara tu, kwa hiyo mtu atoke mbezi mwisho akanunue sukari shopers supermarket hiyo nauli ya kwenda na kurudi itakuwa shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom