Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Hivi wewe jamaa mbona huna akili kiasi hiki? Kupanda bei kwa bidhaa ni maendeleo?Sasa wewe ulitaka tuendelee kuwa hapo hapo? Maendeleo ni pamoja na bei kupanda na wananchi kuwa na uwezo wa kulipa. Yaani kipato kimepanda pia. Hivyo watz kwa sasa wanauwezo wa kulipa 2500 kwa kuwa kipato chao kimepanda ndiyo maana tuko kwenye nchi ya kipato cha kati!
Twambie hiyo inamaana gani. Na tueleze ni mfumko upi wa bei unaofaa na upi haufai?Yamesemwa na ritha minja ambaye ni mkurugenzi wa sensa za twakimu na jamii. Hiyo ni kwa mwezi October
Source: TBC online
My take
Tumpongeze rais kwa juhudi maana vitu vipi chini kwa kuanzia cement hadi sukari
WEE naye una akili ya kuvukia barabara tu, kwa hiyo mtu atoke mbezi mwisho akanunue sukari shopers supermarket hiyo nauli ya kwenda na kurudi itakuwa shilingi ngapi?Hiyo ni Dar nenda Shoppers Supermarket Mbezi Beach nanunulia hapo kila mara mkuu!
Kwaiyo Bora tunywe bia[emoji1]Kreti ya bia ni Bei rahisi kuliko mfuko wa saruji a.k.a cement
Haaaaa Haaaaa 😂 umenichekeshaHivi wewe jamaa mbona huna akili kiasi hiki? Kupanda bei kwa bidhaa ni maendeleo?