Naongezea takataka kabisa huyu mpuuzKumbe kina Ronaldo, Mane, Neymar Jr ni warabu hee? Maana hao ndo highest paid footballers huko uarabuni.
Football is all about fair play, huu unaouleta hapa ni ubaguzi na haufai michezoni, mshindi apatikane kwa uwezo wake na sio kwa utaifa wake..
Hopeless kabisaa wewe[emoji706]
Yaani Aziz awe MVP hasiwe kiungo bora.Kipa bora : Ley Matampi
Beki bora: Bacca
Kiungo bora: Feisal Salum
Mfungaji bora: Aziz Ki
MVP: Aziz Ki.
Umeumia kwa nyuma sioNenda kampe huyo jinga FEI Toto!
Hattrick anapata kwenye timu yenye wachezaji 8 uwanjani alafu ndio awe mchezaji bora.
NI UJINGA MKUBWA.
Give me reasons?Feisal lazima apewe Mchezaji bora
Naunga mkono hojaKumbe kina Ronaldo, Mane, Neymar Jr ni warabu hee? Maana hao ndo highest paid footballers huko uarabuni.
Football is all about fair play, huu unaouleta hapa ni ubaguzi na haufai michezoni, mshindi apatikane kwa uwezo wake na sio kwa utaifa wake..
Hopeless kabisaa wewe[emoji706]
WEEE KAOMBE TFF WAWEKE KIATU CHA WAZAWAAA ELSE WAGENI WATABEBA HIKI KIATU WAZAWA MNABEBA VYA KARUMETunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.
Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.
Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!
Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.
Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.
Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.
Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .
Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.
Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!
SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
peleka ubaguzi Zanzibar! Pumbavu sana wewe! Baada ya kuwabagua Wamasai kule kwenu sasa unaleta ubaguzi ati tuwape wakwetu hata kama hawaongozi kwa magoli! BTW Haaland si mwingereze nakachukua kiatu cha ufungaji bora!Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.
Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.
Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!
Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.
Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.
Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.
Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .
Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.
Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!
SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
Wa Mdebwedo wa upande ule wako hivyo atiiii!Kumbe kina Ronaldo, Mane, Neymar Jr ni warabu hee? Maana hao ndo highest paid footballers huko uarabuni.
Football is all about fair play, huu unaouleta hapa ni ubaguzi na haufai michezoni, mshindi apatikane kwa uwezo wake na sio kwa utaifa wake..
Hopeless kabisaa wewe[emoji706]