Mfungaji Bora Apewe Fei Toto Salumu( FTS)

Mfungaji Bora Apewe Fei Toto Salumu( FTS)

Waarabu gani hao unaosema??
Screenshot_20240525-191727.jpg
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
Utaifa kwanza 😊😊
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
Mpira wenu wa kizamani,waangalieni wenzenu.
Mane,Salah,Auba wote walishinda kiatu cha dhahabu baada ya kufungana magoli 22.
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
huyo ana laana ya yanga na hersy hata afanyeje damu yake haiwezi kutakata. akaombe kwa mama tena ili awe mfungaji bora, manake siku ile kwasababu tu ni mzanzibar hadi rais kaingilia kati ati. ndio niliamini wazanzibari sio watanzania. raia wa kigeni kabisa wanavyoteteana.
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
kwanini asipewe waziri jr?
au sio mzawa???
 
huyo ana laana ya yanga na hersy hata afanyeje damu yake haiwezi kutakata. akaombe kwa mama tena ili awe mfungaji bora, manake siku ile kwasababu tu ni mzanzibar hadi rais kaingilia kati ati. ndio niliamini wazanzibari sio watanzania. raia wa kigeni kabisa wanavyoteteana.
Mkuu,
Human nature hiyo Mimi nimewai shuhudia upendeleo wakikabila yaan mtu mnakutana hakujui humjui akiona jina la kabila lake mfano mwafulani , tesha,kimario,massawe,shehoza,shelukindo, shenkalwa,mabula, marunde,mihayo, mazegenuka,kamugisha,rugalabamu ana feel Ile belonginess anakupa favor

Ni sawa mama Samia hawezi kufumbia macho mzanzibar mwenzake aonewe na wakati ana chance ya kumsaidia bila kusababisha madhala..

Mkuu Hata wewe mwenyewe ukipata fursa tusidanganyane lazima Kuna utakao wapa favor 😊😅
 
wote sio watanganyika, Hivyo ataekidhi vigezo apewe
 
Tunatakiwa kuiga nchi za waarabu na uingereza wanavyofanya kuwapa kipaumbele wachezaji wao wa ndani.

Nchi za waarabu wameenda mbali zaidi, hata mishahara ni ngumu sana kufikia mshahara wa mzawa haijalishi mkataba umesainiwa lini.

Ngozi nyeusi kuna namna inashida hasa watizedi, hatuna hulka ya kuthamini vya kwetu , ndio utakuta Aziz Ki alikuwa anakula 20M huku Fei Mil 4 , stupide kabisa. Fei made great decision in his career path and in searching of his identity!

Ufungaji bora uende kwa Fei Toto ikiwa njia moja Wapo ku promote vipaji vya ndani na kupaisha majina ya wachezaji wa ndani.

Mali yoyote atakayochuma Fei itabaki Tanzania na mali ya mgeni atapeleka kwao , hii ndio sera ya Uk na Arabs kwenye favoritism ya mzawa.

Fei apongezwe pamoja na kukaa nje muda mrefu but jamaa anajua game . SSC mali hiyo , kama mtaendelea kukimbizana na Chama mchezaji ambae hauziki tena nje ya Tanzania shauri yenu.

Dau la Fei toto limepanda kuliko angeendelea kupakwa shombo la Jangwani. Guys this is big lesson in life , hata kwenye maisha ya kawaida, HESHIMU maamuzi yako unayoyaamin at any COST, kuna thin line kati ya MAFANIKIO na MAAMUZI yenye Confidence .

Kama Fei angesalia Yanga , possibly hata dau lake la kumuuza lingekuwa la Kawaida.

Napenda snaa kuona vijana wa TZ wakionesha ushindani kwa wageni wanaolipwa millions of TZS na wakati mwingine hawana deliverable z maana. Mfano Mikison anakula more than 20M , for what ? Stupide kabisa!

SAFI SANA FEI, Mimi ni Yanga but utaifa kwanza na umetupa Heshima wa TZ. All the best Feisal Salum kwenye career path yako ya professional football !
Sawa mrs Fei ,tumekusikia
 
Back
Top Bottom