Mfungwa wa tukio la Ugaidi Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya, Rashid Mberesero adaiwa kujinyonga Gerezani Kamiti

Mfungwa wa tukio la Ugaidi Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya, Rashid Mberesero adaiwa kujinyonga Gerezani Kamiti

Kula ni haki ya. Msingi ya binadamu yoyote yule,
Na pia adabu ya kifungo cha maisha kwanza adhabu hiyo lazima ikuathiri kisaikolojia.
Pia huduma zote muhimu atazikosa
Ukitetea haki ya kula kwa mtu ambaye amedhulumu haki ya kuishi kwa watu wengi nitakushangaa priorities zako.

Mtu ambaye kapanga mauaji ya watu na kafanikiwa adhabu yake ni kuuawa.

Tena ingewezekana auawe zaidi ya mara moja ingefaa iwe hivyo.

Kama kaua watu 100, na yeye auawe mara 100.

Sasa huyo ndiye wa kumtetea kuhusu haki ya kula?
 
Ukitetea haki ya kula kwa mtu ambaye amedhulumu haki ya kuishi kwa watu wengi nitakushangaa priorities zako.

Mtu ambaye kapanga mauaji ya watu na kafanikiwa adhabu yake ni kuuawa.

Tena ingewezekana auawe zaidi ya mara moja ingefaa iwe hivyo.

Kama kaua watu 100, na yeye auawe mara 100.

Sasa huyo ndiye wa kumtetea kuhusu haki ya kula?
Nimesema hivi, hata Huko jela kuna adhabu ya kunyongwa na kuna adhabu ya vifungo, sasa kama mtu Amepewa adhabu ya kifungo cha maisha asipewe chakula?
Huko jela wafungwa wote wana haki ya kula
 
Nimesema hivi, hata Huko jela kuna adhabu ya kunyongwa na kuna adhabu ya vifungo, sasa kama mtu Amepewa adhabu ya kifungo cha maisha asipewe chakula?
Huko jela wafungwa wote wana haki ya kula
Nasema hivi, kumhukumu gaidi aliyeua watu kwa mafungu kifungo cha maisha ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.

Ingewezekana alitakiwa kuuawa mara kadhaa, kulingana na watu aliowaua.

Kama kaua watu 100, alitakiwa kuuawa mara 100 kama ingewezekana.
 
Huyu Dogo angepata wanasheria wazuri angeachiliwa mapema.

Usikute kajinyonga baada ya kuona kila mtu anamhukumu bila kumsikiliza
Kweli; eti sababu pekee iliyomfanya jaji amtie hatiani ni mtuhumiwa "kushindwa kutoa maelezo ya KURIDHISHA kwa nini alikuwa kwenye eneo la hostel za chuo shambulio lilipotokea" Hiyo peke yake inaweza kuwa sababu ya kumnyonga mtu bila kuwa na ushahidi mwingine wa kumhusisha na tukio?
 
Jamaa lina roho ngumu yani limeamua lijiue wakati lenyewe ndii lenye makosa

Kama magaidi wote hata hawa akina B.Ally wangekuwa na moyo huu wa kujiua Dunia ingekuwa sehemu salama kabisa kwa mabaharia kuweka makazi
 
Kweli; eti sababu pekee iliyomfanya jaji amtie hatiani ni mtuhumiwa "kushindwa kutoa maelezo ya KURIDHISHA kwa nini alikuwa kwenye eneo la hostel za chuo shambulio lilipotokea" Hiyo peke yake inaweza kuwa sababu ya kumnyonga mtu bila kuwa na ushahidi mwingine wa kumhusisha na tukio?
ONa ulivyo kichaa ulitaka amuue mama yako ndio ujue ni gaidi.
 
Hilo huo mwili wake uchomwe Moto na majivu Yake yakatupwe katikati ya bahari samaki wale
 
Natamani nisiendelee kukujibu, ila ngoja
Huyu dogo.inavyoonekana alijiunga na alshabaab muda mrefu tu, kwa kuwa hata alipokuwa shule huko dodoma wamasema alikuwa na pesa nyingi.
Inayoonekana hiyo haikuwa mara yake ya kwanza kufika kenya

Alikuwa na pesa nyingi kama kiasi gani?
Unajua anatoka familia yenye uwezo kidogo?
 
Kweli; eti sababu pekee iliyomfanya jaji amtie hatiani ni mtuhumiwa "kushindwa kutoa maelezo ya KURIDHISHA kwa nini alikuwa kwenye eneo la hostel za chuo shambulio lilipotokea" Hiyo peke yake inaweza kuwa sababu ya kumnyonga mtu bila kuwa na ushahidi mwingine wa kumhusisha na tukio?

Exactly ..
Usikute alikuwa na yeye under threat
Na alishindwa Tu kujieleza vizuri..

Halafu kumbe kuna wengine walikuwepo hapo chuoni sio wanafunzi na wakaachiwa
 
Si alikuwa mwanafunzi hapo chuoni

Alikuwa mwanafunzi.hapo ndo kuona na wewe ni mmoja wa watu unaopenda haya mambo.kwa hiyo ukinikuta kwako na mimi ni familia yako ilo ni jibu
 
Alikuwa mwanafunzi.hapo ndo kuona na wewe ni mmoja wa watu unaopenda haya mambo.kwa hiyo ukinikuta kwako na mimi ni familia yako ilo ni jibu

Mbona watu mna uelewa mdogo hivi?
Hapa tunachangia under speculation what if
He was not guilty
What if alishindwa Tu kujieleza vizuri..
Aliekwambia hapa tunamtetea nani?
Au tunaunga mkono alichofanya kama kafanya kweli nani?
 
Mbona watu mna uelewa mdogo hivi?
Hapa tunachangia under speculation what if
He was not guilty
What if alishindwa Tu kujieleza vizuri..
Aliekwambia hapa tunamtetea nani?
Au tunaunga mkono alichofanya kama kafanya kweli nani?
Pumbvu funga Hilo fuvu lako lililojaa makamasi.


Huyo mpuuzi mwenzio ameshakufa kamtetee huko alipo.
 
Kesi yake ilikuwa ngumu sana kwake, alikuwa anasoma bihawana secondary dodoma, ila siku yanatokea mauaji chuo cha garissa kenya nae alikutwa humo chuoni kajificha.
Sasa hapo tu hata ungekuwa wewe usingeweza kumuachia, maana maswali yangekuwa alifikaje kenya?? Alifikaje hiko chuo cha garissa?
Si kufika Garrisa tu alikutwa juu ya dari alikuwa na woga fulani mabomu aliyoavaa ya kujilipua aliweka pembeni .Watanzania si unajua sisi kifo hukiogopa wenzie walijilipua yeye akaona ohhh sitaki akaja kudakwa juu ya dari na jeshi la kenya
 
Back
Top Bottom