Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

Mkuu unaelewa kila kitu ila unajitoa ufaham, kuna wadau wameonyesha baadh ya fursa, lia mazngra yetu unayajua vizuri kwan ni nyanya tu inaweza kufanyiwa biashara?? hata hivyo hiyo nyanya inaweza ikafanyiwa biasha na msururu mrefu wa watu.kuna mkulima,mchuuzi, mlanguzi, msafirishaji, dereva,mtengeneza packing za mazao yatokanayo na nyanya, mpaka hukoo viwandani n.k.
Usitake kuwapotosha vijana kwa kutokuwaonyesha fursa!!
Sasa kila mtu akiwa mjasiriamali itakuwaje?

Ujasiriamali wenyewe wa kuuza nyanya!

Hebu tuwe serious watanganyika!

Ujasiriamali ni kipaji ambacho sio wote wako nacho! Ujasiriamali ni taaluma!

Kila mtu atembeze tenga la nyanya patatosha kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Mzugsji huyo jamaa
Mkuu unaelewa kila kitu ila unajitoa ufaham, kuna wadau wameonyesha baadh ya fursa, lia mazngra yetu unayajua vizuri kwan ni nyanya tu inaweza kufanyiwa biashara?? hata hivyo hiyo nyanya inaweza ikafanyiwa biasha na msururu mrefu wa watu.kuna mkulima,mchuuzi, mlanguzi, msafirishaji, dereva,mtengeneza packing za mazao yatokanayo na nyanya, mpaka hukoo viwandani n.k.
Usitake kuwapotosha vijana kwa kutokuwaonyesha fursa!!

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazazi wengi hukaa na watoto wao sana kuliko mtu mwingine kwa hiyo mzazi ndio atumie fursa hiyo kumuelimisha mwanae kwa sababu mda anao wa kutosha.
Mnhhh nyie mliotoboa mna mambo!

Confidence ni muhimu kitu cha kum coach mwanao..hakikisha unamjengea kujiamini ku face anything

i think mmeshindwa kutambua kwamba ...sio swala la mzazi peke yake ku'mwambia' tu mtoto asiwe na ndoto ya kuajiriwa..

Mimi naona ni kitu kinachokua reinforced katika jamii,parents,teachers,peers wanajamiii wote wanachangia kumshape mtu through daily experiences...hivyo basi kama tunataka kulimaliza tatizo la ajira,we must not look at individuals bali at societal level..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu acha utani,maharage kilo mbili 70m hayo maharage ya dhahabu?!
Mkuu anything is possible kupitia darasa za motivational speakers!

Pesa zipo nje nje! Ni vile tu macho yenu yana tongotongo nzito mmeshindwa kuziokota!

Hata ukitaka ku download pesa ni rahisi mno! Unahitaji laptop tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tatizo unasoma tu bila kutafakari.

Uzi unaffahamisha na kuwalenga wale wasio na ajira.

Wenye ajira hawajaambiwa waache wakajiajiri,huo utakuwa upunguwani.

Wenye ajira waendelee na ajira zao maadamu wana malengo yao.

Ila je yule ambae hana ajira kabisa akae tu ati kisa kuna madaktari wameajiriwa ?

Akae tu na kuilaumu serikali wakati ambao anauwezo wa kuhangaika na kazi mbili tatu za kujiajiri ?

Ukiangalia nimegusia kuwepo kwa wasomi wengi na kuwepo kwa ajira chache,hakuna niliposema watu wakatae ajira kabisa.ila nilichosema ni kuwa watu wawaambiw watoto wao kuhusu kujiajiri pia.

Yaani mzazi usimuaminishe mwanao kuwa hakuna kitu kukosa ajira,mwambie kuwa kuna kukosa ajira,je atakula wwpi,atatafuta vipi ?

Hilo ndilo kusudio.

Unahitajika usome na kutumia maarifa sio unasoma tu mkuu alafu tunapata shida tena ya kufafanua wakati maudhui yako wazi.
Ila Vile vitabu vya Motivation vinatuaribia Sana Taifa.
We need Experts in this country for Christ's Sake.

Na hatuezi kufika huko kama mtu unasoma uengineer alafu 80% ya mawazo yako yanawaza shamba La matikiti uliloacha mkuranga baada ya kuiskiliza ushauri Wa Shigongo. Huo muda wa kuwaza jinsi ya kujenga daraja kuanzia Dsm hadi Znz utautoa Wapi? Unakuwa Katikati.

Siyo kila mtu Anaeza Akawa Entrepreneur. Mbona ni Obvious na mtoa Mada umekiri Ujasiriamali unaitaji Muda Na maarifa.

Mna discourage Sana Vijana hamjui tu. We kama umeamua kulima matikiti lima tu mkuu.

Corona imeingia Sasa hivi Hao wasomi (madaktari) mnaowatukanaga na kuwaambia WAJIAJIRI wangefuata ushauri wenu na wakaingia kwenye calling Yenu kwa Sasa mngewapata Wapi? Au nyie wenzangu mkiumwa Mnapelekwa Kwa WAJASIRIAMALI?

Hizo taarifa za Corona mngetoa Wapi bila millard, em imagine na mwenyewe angeingia kwenye Ujasiriamali?

Inaezekana Nimetoka Nje ya Mada ila bottom Line ni kwamba Acheni Vijana Wasome in Peace, wafanye WALICHOSOMEA wawe the Best. TUNATEGEMEANA. Nchi haiendeshwi na wajasiriamali pekee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa raia wa kigeni bila shaka, ila kama ni wale wale wenzangu na mie from "Kithomboko" huwezi niambia kujiajiri ni rahisi namna hio hapa bongo.
Caucasians ama wazawa na watoto wa wazawa walio explore maisha katika 1st world countries ndio wanaziona fursa kirahisi tofauti nasie wa humu humu nchini ndio maana yule binti toka USA aliamua kufungua kijiwe cha kuuza kande kwao huko Mwanza.

Alilifanya direct baada ya kutoka chuo sidhani kama alipoteza muda wa kusaka ajira maana aliiona hela tayari. Sasa jiulize kuna raia wangapi Mwanza ambao ni graduates wa Masters na hawakuwaza hata kupiga kiwi.

Halafu kingine hili swala linachangiwa na koo mtu uliyotokea. Mfano mie Baba mkubwa Professor (Mwajiriwa), Baba Agro-Economist(mwajiriwa) Baba mdogo Lawyer now ila ana foundation ya education ashashika sana chaki, Shangazi mtu wa Social Science ila ana foundation ya education ni mwalimu wa Kilakala girls kitambo, Babu alikuwa mhasibu, babu mzaa babu karani. Katika ukoo shangazi mmoja ndio mfanyabiashara ila wote wametoka katika same route ya kuajiriwa, haya watoto tuliosomeshwa waliozaliwa mapema wengi waajiriwa.

Hivi hio spirit ya kujiajiri naitoa wapi? Ni ngumu sana jamani. Japo hamna namna ni kujikaza tu.
Na huyo Binti wa Mwz dingi yake ni fogo sana tu anaitwa Lema,ndio Mwenye ile Club ya Villa Park,maduka Spares,Magorofa ya hostels za wanafunzi wa chuo,yuko kwny real estates.

Kuna mdogo wake huyo demu anayeuza sijui makande yeye ile likizo ya chuo alikua anaenda Sharjah,dubai kufunga kontena la Spares za duka la dingi ake wkt nyie mmekomaa na ungese wa kwenda ku-volunteer huko halmashauri au vi-NGO uchwara.Na mtu akikutana na huyo dogo amejiajiri akiwa ametoka shule anahisi na yeye atafuata mkumbo tu.

Watu wanaambiwa tu anauza sijui Makande waambie ofisi zake ziko wapi kama watakuonyesha wkt huyo sister mwenyewe huyo yupo anauza duka la dingi yake la Spares full time.
 
Na huyo Binti wa Mwz dingi yake ni fogo sana tu anaitwa Lema,ndio Mwenye ile Club ya Villa Park,maduka Spares,Magorofa ya hostels za wanafunzi wa chuo,yuko kwny real estates.

Kuna mdogo wake huyo demu anayeuza sijui makande yeye ile likizo ya chuo alikua anaenda Sharjah,dubai kufunga kontena la Spares za duka la dingi ake wkt nyie mmekomaa na ungese wa kwenda ku-volunteer huko halmashauri au vi-NGO uchwara.Na mtu akikutana na huyo dogo amejiajiri akiwa ametoka shule anahisi na yeye atafuata mkumbo tu.

Watu wanaambiwa tu anauza sijui Makande waambie ofisi zake ziko wapi kama watakuonyesha wkt sister mwenyewe huyo yupo anauza duka la dingi yake la Spares full time.
Unakatisha vijana tamaa.
 
Na huyo Binti wa Mwz dingi yake ni fogo sana tu anaitwa Lema,ndio Mwenye ile Club ya Villa Park,maduka Spares,Magorofa ya hostels za wanafunzi wa chuo,yuko kwny real estates.

Kuna mdogo wake huyo demu anayeuza sijui makande yeye ile likizo ya chuo alikua anaenda Sharjah,dubai kufunga kontena la Spares za duka la dingi ake wkt nyie mmekomaa na ungese wa kwenda ku-volunteer huko halmashauri au vi-NGO uchwara.Na mtu akikutana na huyo dogo amejiajiri akiwa ametoka shule anahisi na yeye atafuata mkumbo tu.

Watu wanaambiwa tu anauza sijui Makande waambie ofisi zake ziko wapi kama watakuonyesha wkt sister mwenyewe huyo yupo anauza duka la dingi yake la Spares full time.
Hahahaha sasa business ya makande si anafanya for fun. We unadhani biashara hio kwamba anaitegemea sana ikiwa kwao mipunga ya kutosha ipo?
 
Hahahaha sasa business ya makande si anafanya for fun. We unadhani biashara hio kwamba anaitegemea sana ikiwa kwao mipunga ya kutosha ipo?
Hahah sasa kuna watu waliona ile interview yake sijui anauza makande wakawa Inspired mbaya kabisa na wakajua hio biz ndio anayoitegemea.
 
Hahah sasa kuna watu waliona ile interview yake sijui anauza makande wakawa Inspired mbaya kabisa na wakajua hio biz ndio anayoitegemea.
Mtoto wa Fogo huyo hawez tegemea kuishi kwa kuuza kande hata siku moja. Kwanza wateja wa kununua sahani ya kande 5000 ni rafiki wa babaake na ambao ndio wateja wao wakubwa watu wenye fedha.

Kande wananunua kwa heshima ya mzee tu! Sio kama wanazimaindi sanaaa.

Sasa we mtoto wa sakara jitusu uanze kuuza hizo kande buku5 uone kama kuna raia atasogea.
 
Peleka mtoto wako shule asome akikuona unajiajiri ataiga ataanza kujufunza sasa wewe kutwa uko na likitambi lako nyuma ya laptop umeajiriwa unadhani huyo mtoto ni malaika aote kuja kufungua biashara yake?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa Fogo huyo hawez tegemea kuishi kwa kuuza kande hata siku moja. Kwanza wateja wa kununua sahani ya kande 5000 ni rafiki wa babaake na ambao ndio wateja wao wakubwa watu wenye fedha.

Kande wananunua kwa heshima ya mzee tu! Sio kama wanazimaindi sanaaa.

Sasa we mtoto wa sakara jitusu uanze kuuza hizo kande buku5 uone kama kuna raia atasogea.
Hahah ukikutana na Motivational Speakers watakwambia add value kwny hayo makande,fanya packaging nzuri weka na strawberry pembeni utauza bei unayotaka.

Hapo kwny watu kununua kande sababu ya influence ya dingi ake umenikumbusha wkt Klyn anafungua sehemu yake ya kuuza yale ma-furniture yake ya mamilioni niliwaona wakina Juma Mwapachu na wadau kibao wakimuunga mkono Kylin kwa heshima ya rafiki yao Mengi lkn sidhani kama baada ya Mengi kusepa kama bado wanaunga mkono juhudi au la.
 
Hahah ukikutana na Motivational Speakers watakwambia add value kwny hayo makande,fanya packaging nzuri weka na strawberry pembeni utauza bei unayotaka.

Hapo kwny watu kununua kande sababu ya influence ya dingi ake umenikumbusha wkt Klyn anafungua sehemu yake ya kuuza yale ma-furniture yake ya mamilioni niliwaona wakina Juma Mwapachu na wadau kibao wakimuunga mkono Kylin kwa heshima ya rafiki yao Mengi lkn sidhani kama baada ya Mengi kusepa kama bado wanaunga mkono juhudi au la.
Teheheheeee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah ukikutana na Motivational Speakers watakwambia add value kwny hayo makande,fanya packaging nzuri weka na strawberry pembeni utauza bei unayotaka.

Hapo kwny watu kununua kande sababu ya influence ya dingi ake umenikumbusha wkt Klyn anafungua sehemu yake ya kuuza yale ma-furniture yake ya mamilioni niliwaona wakina Juma Mwapachu na wadau kibao wakimuunga mkono Kylin kwa heshima ya rafiki yao Mengi lkn sidhani kama baada ya Mengi kusepa kama bado wanaunga mkono juhudi au la.
Tengeneza jina kwanza baadae utatengeneza pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom