Mfupa uliomshinda fisi

Wanasemaga wazee ni hazina
 
Unajua tungeelewa vizuri jana ungesema hicho kibuti ulipigwa pigwaje, kuliko kuweka funzo tu, slow learner kama Mimi sielewi aloo
Sio kibuti ni libuti
 
Ili mambo yawe muswano ni lazima wakutane wote walioachika.... maana wameshakuwa makruuu kila mtu ameshaonja matamu ya kuachwa
 
Wanasemaga wazee ni hazina
Haahaha aiseee kazi sanaaa, mtu kadiri anavyozeeka ndo nayeye akili yake inazidi kupagawa nauhazina wake unashuka.

Hata ivo ni wazee wachache sana ambao huendelea kua Hazina.

Alafu , wee mtu kaachana mke na watoto wake alowazaa kwa kiuno chake,, ndo aje akupende ww km malaika???? Inawezekana???

Omba upate mwanamme mwenye hekima busara na upendo....sio kuomba upate mwanamme mzee/alowah kuoa .... Hizo ni nafasi lkn hazitokaa zimbadilishe tabia .

Hata ivo ,, ukiruhusu "Upweke na hamu ya" ndo vikuamlie maisha ,sitoshangaa sana ngojera zilizojaa huzuni zikitoka kinywan mwako..

.alafu nikajua mwanamke akikua kiumri, humsaidia kujua nn anachotaka!!!.
Kumbe wapo wengine, wamekua lkn hawajui wanachokitaka??? Khaak.

Hili limekukuta weee Miss???au kabint fulan ka under 25??
 
Sasa ukutane nae kashakaa muda mrefu hadi nta ile imeanza kuganda kule - wooooiiiiiii unaweza hisi umenasia
 
Hayo mambo yako pande zote mbili!

Halafu unaweza acha au kuachwa ila baadae ukajikuta unaishi vzr na uliyempata tuache kukariri jamani
 
Unanichamba sana bwana ahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…