muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Sasa mkuu kwa sisi wabantu nikiona paja na tako lazima mnara usimame si itakuwa balaa huko😃😃Mbunye ni nyama, humo wanakula mboga mboga tu...
Usijeuliza kama wanauza na 'kisamvu'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu kwa sisi wabantu nikiona paja na tako lazima mnara usimame si itakuwa balaa huko😃😃Mbunye ni nyama, humo wanakula mboga mboga tu...
Usijeuliza kama wanauza na 'kisamvu'
Nakazia. Madela yanaficha vingi. Unachukuwa ''pisi kali'' kama wanavyosema wa mjini, umbo 100%, sura 100%, ukifika chumbani akivua unakuta tumbo limedondoka kama kama lina akiba ya maji, manyama uzembe ndiyo usiseme, mapaja yana alama na mifundofundo!Vipo vya kujiamini mwamba sio mtumbo kama pishori la mahindi.
Na hiyo nadharia hapo imeongelewa endapo mgahawa ungekuwa bongo.
Kuna walimwengu wana rangi 100 kidogo. Uso mweupe tumbo kama Bernard Morrison unatarajia atajiamini huyo??
Halafu baadaye wanaunganisha miili😁Lengo la hafla ya Füde ni kuwasaidia watu kuunganisha 'nafsi zao na uhalisia wao halisi'.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nakazia. Madela yanaficha vingi. Unachukuwa ''pisi kali'' kama wanavyosema wa mjini, umbo 100%, sura 100%, ukifika chumbani akivua unakuta tumbo limedondoka kama kama lina akiba ya maji, manyama uzembe ndiyo usiseme, mapaja yana alama na mifundofundo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]syanaloli isibora ya kibamia unaweza kusingizia baridi.
Kuna Pisi kali zina matumbo kama tairi za tractor. Akilichia linafika magotini.
Kuna kina dada asubuhi anachomekea tumbo hata masaa mawili, sasa hilo likiachiwa si litaburuza sakafuni akikaa chini.
Wanawake tuwaone hivi hivi wakiwa na mavazi yao. Humo ndani kuna mambo ya kutisha. Unakuta ziwa limepigwa suspender, ukiangalia kwa nje unaona chuchu saa sita, tumbo linabanwa na mamikanda linakuwa flat, hapo tako linapigwa boost anaonekana ana kibinda nkoi.
Sasa vuta picha kavitoa vyote hivyo vya hapo juu ndio mnakula. Unaweza poteza hamu ya kula hapo hapo na hayo mazonge utakayokutana nayo.
Mm.View attachment 2602837
Je unaweza kushiriki chakula cha jioni ukiwa mtupu bila nguo na watu 40 usiowafahamu?
•
Huko nchini Marekani upo mgahawa unaowapokea wateja wanaopenda kupata mlo wakiwa watupu.
•
"The Füde Breathwork Experience" mjini New York City ni hafla ya chakula cha jioni ambapo washiriki hula chakula huku wakiwa hawajavaa nguo.
•
Gharama ya kiingilio ni kuanzia dola 44 hadi dola 88, ambazo zitakuwezesha kushiriki pia mazoezi ya kupumua na hatimaye kula mlo usiokuwa na nyama yaani chakula kitokanacho na mimea.
•
Wateja kwenye mgahawa huo, mara nyingi huwa ni watu ambao hawafahamiani, lakini hukaa pamoja na kula chakula.
•
Lengo la hafla ya Füde ni kuwasaidia watu kuunganisha 'nafsi zao na uhalisia wao halisi'.
•
Chanzo: BBC SWAHILI
Hatukujitambua tupo uchi hadi walipokuja wazungu.Tumeanza kuogopa kukaa uchi lini na wakati kabla hao wazungu hawajaja tulikuwa tunaishi uchi wa mnyama masaa yote?
Balaaaaaaduh aiseee
Isyanaloli n'gali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]syanaloli isi
Zamani pia tulikua tunasafiri kwa kutumia Punda,je upo tayari kuendelea kusafiri kwa Punda kisa tu zamani ulikua unasafiri kwa Punda?Tumeanza kuogopa kukaa uchi lini na wakati kabla hao wazungu hawajaja tulikuwa tunaishi uchi wa mnyama masaa yote?
Kwa mbantu dude linyanyanyuka ila nzungu naona kama matoy ya kutundikia nguo dukani.Kwahiyo ukiona mzigo ukakuvutia dushee linanyanyuka kila mtu anaona.? Huo unawafaa hao hao ngozi nyeupe.