Imagine situation ambayo, wanafunzi wataweza kuwashawishi walimu kuunganisha ajenda, na baadaye kundi hili liombe kanyongeza ka waastafu wa africa mashariki kwa ajili ya strategy, na baadaye waamue kuwashawishi watanzania wote waliopo kwenye Public sector kugoma kazi kwa siku tatu mfululizo (serikali haita-react of course) Then waitishe mgomo Mkubwa zaidi utakaowajumuisha wakulima, sasa wakasema tunaandama kwa sababu hatuna Imani na serikali. (FFU na JWTZ Tafadhari msiwe kimbele mbele). hapo ni diplomacy tu,
Nashangaa hawa Viongozi wetu wamewashindwa hata Mr. Ziro alipokuwa waziri mkuu mwaka 2000 aliweza kuzungumza na wanafunzi na kufikia muafaka, upo wapi uzeofu wa Pinda mzee wa usalama mika kibao? amekulia Ikulu Pinda walisema toka enzi za mwalimu, anajua serikali zote, Upo wapi ukijana wa Ngereja? Upo wapi utoto wa mjini wa Makamba? wote wamefeli???