Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Uliangalia kipima joto cha jana itv yule mzee aliwahimiza wanafunzi wagome nchi nzima kwa masilahi ya vizazi vijavyo wagome hata miaka 100 ili mradi maslahi yao yasikilizwe na yafanyiwe kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nauliza tena ni kosa kuwa mwanachama wa chama cha siasa ukiwa sio raia?.. Mbona huko nje wanakofungua matawi ya chama wengi wanachama wao ni raia wa nchi hizo!
Na je baada ya kumkamata kinara wa migomo ndo kusema migomo imekwisha/itakwisha?
Mkuu Calnde
Migomo haiwezi kwisha. Mgomo ni mfumo wa maisha ya watu wanaouhitaji ili kupinga mfumo fulani kwa kusimamamisha kutoa nguvukazi yao...
Ila sijui ingekuwaje kama Odwar angekuwa Mtanzania na amefanya haya tunayoripotiwa kuyafanya pale Makerere, mzee wa pama angemfanya nini? Bado najaribu kupata picha