Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Makubi: Wananchi chukueni tahadhari za kujilinda na kuwalinda wengine dhidi ya magonjwa, msisubiri matamko

It is an alarm and confirmation that Corona-19 and other related diseases are with us in plenty. Please take care. Observe social distance, put on the mask, use sanitizers, etc.
 
Hasa hao walioko bungeni ,kwenye mkusanyiko mmoja kwa zzaidi ya wiki mbili na ni watu wa umri kidogo wachukue taadhari aisee.
 
Unasubiri tamko kwani mwili wako ni wa serikali,ukifa wanazaliwa wengine,we endelea kusubiria tamko.
 
Nyie ndio kwenye mtihani mkiulizwa Lagos iko nchi gani, mnajibu Brazil.
Sawa jomba Cha msingi chukua tahadhari usiwe bwege na kuleta hoja zisizo na umuhimu...una behave Kama mtoto wa darasa la kwanza
Kwani uongo jomba..kirusi Cha mwanzo Mungu alikiteketeza...kupitia maombi...ya watanzania..uongo??? Sasa subiri hiki kirusi Cha pili...kwa imani ileile Mungu ataenda kukisambaratisha...kuwa mtu wa imani jomba usiyumbishwe na mashetani hayo
 
serikali isiyojali wananchi wake wakati wa majanga ni hii serikali nguruwe ya CCM.
Nadhan nguruwe ni wewe...mpumbaf mmoja tu usiyejielewa na shoga...wananchi asilimia zaidi ya 90 tumemkubal Magu na serikali..Sasa wananchi gani unaosema wewe...nguruwe pori
 
Kha kudadeki Wizara imejikita na miti shamba
 
Lisemwalo lipo, tena halina taarifa huja ghafla kama kifo
 
Bado nasema, ni watu kama ninyi mliopewa akili nzuri tu na Mungu kupambanuaukweli na hatari mbele yenu, badala ya kuchukua hatua stahiki mnapiga magoti na kuomba miujiza.
Watu wengi wameshakufa kwa ujinga huu wa kukosa maarifa.
 
Mbona anaongea kimafumbo mafumbo.Anazungumzia C-19 ama??
 
Nadhan nguruwe ni wewe...mpumbaf mmoja tu usiyejielewa na shoga...wananchi asilimia zaidi ya 90 tumemkubal Magu na serikali..Sasa wananchi gani unaosema wewe...nguruwe pori
mataga kulikoni mbona umepanic???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…