Mganga wa kienyeji ahukumiwa miaka 20 jela na viboko 12 kwa kosa la kufuga fisi.

Hapo sio kwamba wamejisumbua tu😁
Watakuwa wanashinda na kulala na limnyama gerezani.
 
Kama ukoo tupo kujiandaa kukata rufaa
mjomba wangu haiwezekani aende jela kwa kosa dogo kama hilo
Ntunzu huku tunajipanga kwa mashambulizi kwa hakim na mahakama kwa ujumla!
 
Kama ukoo tupo kujiandaa kukata rufaa
mjomba wangu haiwezekani aende jela kwa kosa dogo kama hilo
Ntunzu huku tunajipanga kwa mashambulizi kwa hakim na mahakama kwa ujumla!
Nguvu yenu lazima waitambue, nyie ba kokaya fanyeni jambo nchi nzima itetemeke πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mnafunga mganga wa kienyeji jela, akienda kugeuka kinyamkera huko jela si atawawasumbua askari jela na wafungwa, nani atamgusa mchawi huyo?
Ngoja tuone itakavyokua, ila serikali haiamini kwenye uchawi 🫠
 
Hivi kwa nini sheria za Tanzania ni za uonevu sana. Yaani kufuga fisi miaka ishirini jela?

Hizi sheria lengo lake ni kufundisha au kukomoana?
Ni kwa sababu tulirithi mfumo wa haki jinai wa kikoloni, ambao ulilenga kuwakomoa watawaliwa. Tulipopata uhuru watawala wapya wakafanya mageuzi kwenye mambo mengine yaliyowapa faida wao kiutawala, yale mabaya ya kikoloni yaliyosaidia kutawala kwa urahisi kama sheria mbovu na matumizi mabaya ya vyombo vya dola hayakupewa kipaumbele kufanyiwa mageuzi
 
Mbona kuna chama cha siasa pia kinafuga fisi

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…