DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Ha ha ha...Shehe Shariff Majini alilalamika kwamba aliibiwa kura. Kipindi cha uchaguzi
Majini yake yalishindwa kuzilinda kura zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha...Shehe Shariff Majini alilalamika kwamba aliibiwa kura. Kipindi cha uchaguzi
Majini yake yalishindwa kuzilinda kura zake
Mkuu vipi, yule mchepuko wako wa mbagala yupo? mpe Hi kwa niaba ya wana MMU woteSasa hapo utapeli uko wapi[emoji848]
Mshana Jr hii imekaaje mkuuKatika hali isiyo ya kawaida Mganga wa kienyeji Edward Mwansasu mkazi wa Kijiji Cha Ndubi Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya, amefika mbele ya mkuu wa Mkoa wa Mbeya kulalamika juu ya kutapeliwa na mteje wake aliye mhudumia kwa kumpa dawa za biashara.
Mganga huyo amefika mbele ya mkuu wa Mkoa wakati akisikiliza kero za wananchi Wilayani humo akiwa katika ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali na kusikiliza kero za wananchi ambapo mbali na hilo amelalamikia hatua ya wazee na walemavu katika Kijiji cha Ndubi kutopata misaada inayo tolewa na serikali ikiwemo vyerehani na fedha za tasaf.
Akijibu malalamiko hayo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Homera ameelekeza wataalamu kutoka katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, kufika katika Kijiji hicho Ili kuangalia namna ya kuwawezesha walemavu na wazee.
#WasafiDigital
JidanganyeHakuna uchawi kwa mtu asiye amini na asye mwoga.
Kiongozi si ulishatangaza kujitoa kwenye hiyo tasnia na kumrejea Bwana wa Majeshi?
Kwa umri wangu nilioishi hakuna uchawi walala nini ,wajinga tu ndio wataamini huo ujinga.Jidanganye
[emoji3][emoji3][emoji3] hebu njoo tupimajeMshana Jr Una dawa za utajiri nije kukutapeli?
Ndio ila historia haiwezi kufutikaKiongozi si ulishatangaza kujitoa kwenye hiyo tasnia na kumrejea Bwana wa Majeshi?
bado hujakua or else wewe sio hustler.Kwa umri wangu nilioishi hakuna uchawi walala nini ,wajinga tu ndio wataamini huo ujinga.
Mkuu hakuna uchawi wala chochote kama kweli upo atokee mchawi mmoja apa jf anilogebado hujakua or else wewe sio hustler.
Nadhani kule itakua poa zaidi.. Asante
Nimeweka video apo kaisikilizeHizo ni drama za mkuu wa mkoa ili kufurahisha hadhira, hakuna mganga mwenye uthubutu wa kusema hayo hadharani
CCM sijawahi kuwaamini 😂😂😂Nimeweka video apo kaisikilize
sasa si ukamsaidie mzee wa vilingeni au hujawahi muona kwenye makutano yenu ya kila mwaka?
Nakuja
Baadhi ya matapeli na waganga wa jadi ni watu wenye IQ ya hali ya juu sana.. Wakishausoma mchezo mzima ni rahisi kumpanga mtu akapangikaMshana Jr hii imekaaje mkuu