Mganga wa kienyeji atapeliwa Mbeya, aenda kulalamika kwa mkuu wa mkoa

Mganga wa kienyeji atapeliwa Mbeya, aenda kulalamika kwa mkuu wa mkoa

Baadhi ya matapeli na waganga wa jadi ni watu wenye IQ ya hali ya juu sana.. Wakishausoma mchezo mzima ni rahisi kumpanga mtu akapangika
Kwa mfano kama jamaa alitaka kumtapeli mganga milion 5 alihakikisha anatumia laki 5 mpaka milion kumuweka sawa mganga
Nitaendelea


Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
Yaani mganga haogopwi hapo?

Malizia tupate somo kamili mkuu
 
Baadhi ya matapeli na waganga wa jadi ni watu wenye IQ ya hali ya juu sana.. Wakishausoma mchezo mzima ni rahisi kumpanga mtu akapangika
Kwa mfano kama jamaa alitaka kumtapeli mganga milion 5 alihakikisha anatumia laki 5 mpaka milion kumuweka sawa mganga
Nitaendelea


Sent using Jamii Forums mobile app
Wakina manyaunyau hao

Hata kwa madiba,watu wengi wanaendaga huko kufanya utapeli
Ili wakishtukiwaga wanafanyiwa umafia sana

Ova
 
Back
Top Bottom