Mganga wa kienyeji atapeliwa Mbeya, aenda kulalamika kwa mkuu wa mkoa

Mshana Jr hii imekaaje mkuu
 
Mshana Jr hii imekaaje mkuu
Baadhi ya matapeli na waganga wa jadi ni watu wenye IQ ya hali ya juu sana.. Wakishausoma mchezo mzima ni rahisi kumpanga mtu akapangika
Kwa mfano kama jamaa alitaka kumtapeli mganga milion 5 alihakikisha anatumia laki 5 mpaka milion kumuweka sawa mganga
Nitaendelea

Kwahiyo jamaa atajifanya ana matatizo sana na anamwamini sana mganga.. Hivyo atatibiwa kwa siku kadhaa na kila akienda kupata tiba atjifanya anapona kwa haraka na anapokea siku za madili makubwa makubwa .. Na mwisho wa matibabu anampa mganga kifurushi cha mazagazaga ya zawadi na shekeli

Baada ya siku mbili tatu anarudi kumshawishi mganga ajiunge kwenye dili ya pesa ndefu anajifanya kawekeza pesa yenye faida ya maana na kumshawishi mganga naye afanye hivyo

Mganga akiwa tayari keshajenga imani kubwa kwa mteja wake anakabidhi fungu na huo ndio unakuwa mwisho wa story[emoji1787]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…