Mgao ujao wa umeme…

Hama Nchi Kama vipi, unataka TANESCO wasifanye maintenance ya mitambo ya umeme? Hata hiyo gari Kuna muda unaisimamisha kazi unaifanyia service!
Nyie wasukuma vipi,mmerogwa au
 
sawa
 
mmmh kwahiyo nchi zingine huwa wao wajinga wapokuwaga na backup wakati wa matengenezo?
 
Nipo hoves sana jmn na suala la Umeme,na waziri wake ... hii inji hiii
 
Ilikuwepo japo na watumiaji walikuwa wachache..
Watumiaji wakiwa wachache na Tanesco inapata mapato kidogo, lakini watumiaji wakiongezeka wakawa wengi na Tanesco wanapata mapato makubwa zaidi na zaidi !! Kwahiyo hiyo kuongezeka kwa watumiaji sio justification ya umeme kuzidiwa Bali ni kutowajibika kwa wanaohusika kwa sababu wanazozijua wao !! Labda mifuko ya sandarusi !!"
 
Hajui afanye nini!
Wacha kumsingizia, kama alikuwa anahamahama utotoni na kusoma shule kumi kwa miaka 7 unategemea nini? Yupo njiani kuwa raisi wa nchi nyingine ya kusadikika wakati wowote.
 
Kufanyia ukarabati mitambo au sijui mabomba ya gesi or whatever, bila kuleta mgao, inawezekana kabisa.

Ni upumbavu wetu tu.
 
We are stupid.

Kufanyia ukarabati mitambo au sijui mabomba ya gesi or whatever, bila kuleta mgao, inawezekana kabisa.

Ni upumbavu wetu tu.
Kwanza hata kabla tu yakutangaza kutakuwa na mgawo umeme ulikuwa unakatika na hapo kumbuka wametoka kufanya wanayoita matengenezo na hapo tunajiuliza hayo matengenezo waliofanya ni yapi ikiwa still umeme unakatika Mara Jana wanatoa taarifa yakutangaza kutakuwa na mgawo kwasababu ile ile waliohitaja wananchi Wana doubt hata wakifanya hayo matengenezo kuna uhakika gani umeme hautakatika? Ikiwa mwanzo pia walisema hivyo hivyo na umeme ukawa unakatika Hili ndio swali walitakiwa watujibu
 
Na kwanini hilo zoezi liwe la nchi nzima?
Hata sielewi maana kabla ya hapo hili zoezi lilikuwa limekwishaanza kuna maeneo umeme ulikuwa ukikatika na jibu likawa ni kwa sababu ya matengenezo.
 
Wanatengeneza mazingira ya kupiga hela maana walianz na sababu za ukame tukawa na mgao na ss wamekuja na sababu zingine CCm ni janga la kitaifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…