Mgao ujao wa umeme…

Mgao ujao wa umeme…

Tatizo la kukata umeme kwa jina la huo mgao kwani limeanza awamu gani ?

Kwa kumbukumbu zangu umeme umewahi kuwepo mgao around 2006 & 2007 hata kipindi cha nyuma kabla ya hapo.
 
Hapa najiandaa kisaikolojia ngoja ninunue pc nyingine tu. Zikinipa masaa 6 ya kaz kwa siku sio mbaya
 
Nafikiri kwa muda mrefu Tanesco wamekuwa wakiendesha hiyo mitambo bila periodic maintenance kwa kuhofia kuonekana saboteurs baada ya serikali kuahidi hamna mgao. Now the chickens have come home to roost maana wakizidi kuiendesha ita collapse kabisa. Hawana jinsi bali wafanye the long over due maintenance.

Amandla...

Hata kama una akili ndogo kweli unafikiri kabisa hii mitambo inaweza kuendeshwa bila kufanyiwa mantainance kwa miaka sita? Unafikiri mantainance mpaka umeme ukatike?
 
Tatizo la kukata umeme kwa jina la huo mgao kwani limeanza awamu gani ?

Kwa kumbukumbu zangu umeme umewahi kuwepo mgao around 2006 & 2007 hata kipindi cha nyuma kabla ya hapo.
Basi utakuwa dogo sana wewe.

Mgao wa umeme upo tokea utawala wa Mwinyi.
 
Hata kama una akili ndogo kweli unafikiri kabisa hii mitambo inaweza kuendeshwa bila kufanyiwa mantainance kwa miaka sita? Unafikiri mantainance mpaka umeme ukatike?
Mkumbushe kuwa muda hata ujapita walituhaadi wanafanya matengenezo inakuaje Tena leo hii tunapewa sababu ile ile hayo matengenezo waliofanya mwanzo yalikuaje?
 
Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.

Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…

Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.

Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?

Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.

Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?

Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?

Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?

Tanesco….and whoever else involved….seriously????

NB: Halafu nani anaamini huu mgao utakuwa ni wa siku 10 tu????? Mimi siamini….
Inatafutwa timing ya kuingia mikataba na makampuni ya kuzalisha umeme wa jua na upepo ili tulipe tena mabilioni ya capacity charge .

Umesikia wanazungumzia tena Stuglers gorge ys Rufiji?

Ni mwendo wa mikataba na makampuni ya nje ya umeme na gesi.
 
Majenereta wanayoingiza bandarini yatauzwaje?
Watu wanatangaziwa mgao Ili wajihami na jenereta
 
Kabisa yaani,
Dhalimu ameondoka hali sasa ni shwari,,watu walikenua sana yaani nchi imeponywa.
Watu wanaishi kwa raha sasa hivi hakuna kutekana wala mauwaji yaani nchi ina raha kero zote zimeondoshwa yaaani teh teh.
 
Watu wanaishi kwa raha sasa hivi hakuna kutekana wala mauwaji yaani nchi ina raha kero zote zimeondoshwa yaaani teh teh.
Ewaaa sasahivi wapo nchi ya maziwa na asali.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ukisikiliza hotuba ya mama samia tanga siku moja kabla ya kutangazwa kifo cha magufuli aliongea kwa kujiamini mwisho wa kukatika umeme umefika lakini sasa anatangaza mgao huku akijifanya anavutia wawekezaji
 
Hiyo mitambo haikufanyiwa marekebisho kwa muda mrefu sababu wahusika waliogopa kutumbuliwa (hili waziri alishasema)

Sababu za mgao ni kufanya ukarabati na bila kufanya huo ukarabati kipindi hiki huenda hata huo umeme wa mgao usiwepo.....hivyo Watanzania ondoeni wasiwasi kwani hayo matengenezo ni muhimu kipindi hiki.
Kwani taarifa ya Tanesco inasema ni matengenezo ya mitambo au bomba la gas? Rejea taarifa ya Tanesco then tuendelee kujadili.
 
From day one, nilipoona January anapewa hii wizara, nikajua 100% tumepigwa mnada kuhusu umeme. Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom