Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa...... hali ni tete!Tunakufikia popote ulipo andaa 80,000 yetu
Hahaha siku 3 hujaliona bafu unanukia mishkaki choma😅 poleni sana jamaniHahahaaaa...... hali ni tete!
Maji je yatafunguliwa lini?Mama anaupiga mwingi!
Kwa ufupi anafungua nchi.
Tunakufikia popote ulipo andaa 80,000 yetu
Litre 1000Lita ngapi hiyo 80,000
Wanauza maji kwa sasa hawakuangalii usoni hutaki wana oda kwa wengine kwa kweli tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sanaLitre 1000
Eeh watu wa dili wamerudi mitamboni kama hutaki kaa na kikwapa chako cha week 😅Wanauza maji kwa sasa hawakuangalii usoni hutaki wana oda kwa wengine kwa kweli tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana
Watoto wazuri wa Sinza wanapewa 'punguzo'hawakuangalii usoni
hahahaha kmmmmkkama hutaki kaa na kikwapa chako cha week
Huku kwetu now week ya 3 mpaka tumeshasahau kuwa kuna DAWASCO ninachomshukuru Mungu ni kwamba kila baada ya nyumba kumi au 20 kuna bomba la maji ya bure ndugu zetu waislamu wameweka nje tunajichotea 24/7 isingekuwa hvyo pasingekalikaHabari wadau
Naona tumerudi enz zile..
Sina maji kabisa leo sijui nyumbani wanaishije
Mwenye namba ya magari ya kuuza maji maeneo ya ubungo naomba anisaidie
Litre 1000
Tabu ikizidi we tustue tu tutakuletea, kumbuka litre ya mafuta ni 2,250 kwa diesel!Not fair at all, ngoja niendelee kutumia maji ya kisima kwa kipindi hiki.
Sie ambao tunakaa na wakatoliki huku inakuaje? 😅 Dumu 200huku kwetu now week ya 3 mpaka tumeshasahau kuwa kuna dawasco ninachomshukuru mungu ni kwamba kila baada ya nyumba kumi au 20 kuna bomba la maji ya bure ndugu zetu waislamu wameweka nje tunajichotea 24/7 isingekuwa hvyo pasingekalika
Huku maji wanauza waha wanaijua pesa mno 😅😅😅watoto wazuri wa Sinza wanapewa 'punguzo'
Tabu ikizidi we tustue tu tutakuletea