jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Hata huku watu wanafanya fursa kuna wale wenye kucha ndefu hawawez kubeba bas, wanakuja watu na madum yao wanaenda kuchota bure then wanakuletea kwa dum 200 pia ila kwa maji maeneo ya Ilala yamejaa ya kutosha labda waskie watukatie na umeme hapo ndo balaa litapokuwa zitoSie ambao tunakaa na wakatoliki huku inakuaje? [emoji28] Dumu 200