Mgao wa DAWASCO ni balaa, mwenye namba ya wauza maji na magari Ubungo anisaidie

Mama ana nyooosha Nchi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Sita Sahau siku ya jana nimezunguka na dumu langu Sinza nzima๐Ÿคจ
Hapa White Inn kuna mwarabu anatuokoa kiukweli. Ana tanki lake linaziba matundu.
 
Mimi kuoga hainisumbui. Asubuhi natoka home nakimbia jogging mpaka Coco beach mgongoni nina begi la nguo.

Nikifika nafanya stretching nikimaliza naogelea pale baharini natumia sabuni ya magadi, najipaka lotion ya Razac nachana nywele navaa nguo za kwenye begi naendelea na mishe mishe.

Desperate times call for desperate measures
 
Hamkujua kuwa kuruhusu vibaka wachukue nchi kupitia wizi wa kura kuna gharama yake?

Acha mpigwe mbele na nyuma(maji na umeme kwa pamoja)ili mjifunze kutetea demokrasia.
Your browser is not able to display this video.
 
Tunafungua nchi sasa, hiyo ndio maana sahihi ya mzunguko, nyie hela mnapeleka breweries tu na kwenye "bia tamu" acha sasa water bowser zetu zifanye kazi.. vijana wapate ajira na nyie muoge..
 
Kila siku mnajaa bar tu tunawaangalia, clubs zote mnajaza tunawaangalia, magari bia yako busy tunawaangalia tu.... sasa zamu yetu..

Na huu mchango tunaochangishana huu mwezi majamaa tutawapa hela ya kutosha hili zoezi tunapiga kama mwaka hivi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ