Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Kuna mawili inawezekana Gadner alijisahau pesa yake akaishia kutanua au ana mali zake(nyumba) ya siri ambayo Jide hajui. Imeandikwa''enyi waume ishini na wake zenu kwa akili'' yeye hakuishi kwa akili mpk mwanamke akamzidi akili .
Yeah kweli kabisa.