Mgao wa umeme unaivua nguo Serikali

Mvua zilinyesha chini ya kiwango mtela bwawa halikujaa ipasavyo hata aje nani kama mabwawa maji hayatoshi mgao utazidi kuwepo tu



Mbona Magufuli kuna namna alifanya tukaendelea kupata huduma ya umeme na maji?

Rais anatakiwa limkoseshe usingizi mpaka ufumbuzi upatikane wa haraka.

Anatakiwa aende huko maporomoko, Akutane na hiyo team ya jopo la Umeme na maji

Waje na suluhisho mbadala haraka.
 
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki pm.
 
Biashara ya majenereta, Sola panels, battery etc.

Lazima mgao uwepo ili biashara za wakubwa zifanyike. Kusipokuwepo mgao wa Umeme: majenereta, Sola panels na battery watamuuzia Nani? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu ubora wa utendaji huanzia juu..chini ni mapokeo tu..juu kukiwa ziro chini haiwezi kuwa tano.

Hata siku moja tanzania usitegemee perfomance kutokea chini kama juu kumeoza.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
E bana ee... kwahiyo upungufu wa maji unapelekea tatizo la umeme na upungufu wa umeme unapelekea tatizo la maji..! Hii nchi hii..🙆‍♀️
Bado safari ni ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…