Wataalamu wanasema ukichukuwa idadi ya wanachama wenye usajili ukazidisha mara mbili ndiyo nguvu ya wafuasi wao. Tujue kuna watoto ambao ni wapambe wa wanachama walezi wao kwenye mahesabu haya
kwa hivyo CCM ina wanachama 17M na wafuasi kwa ujuma 34M, Chadema wanachama 7M na wafuasi 14M wengine wote ni vyama vingine. Hivyo Kwa idadi ya 60M kwa Watanzania wote CCM 56%, Chadema 23% na wengine wote 21%.
Tatizo ni viongozi wengi serikalini kujiaminisha wapo 100% hivyo migogoro itatokea tu mpaka pale watakapo jua wana 56% tu na inapingua kila kukicha. Nchi yetu haitaweza kuendelea mpaka pale kuwe na maelewano ya hivi vyama
kwa hivyo CCM ina wanachama 17M na wafuasi kwa ujuma 34M, Chadema wanachama 7M na wafuasi 14M wengine wote ni vyama vingine. Hivyo Kwa idadi ya 60M kwa Watanzania wote CCM 56%, Chadema 23% na wengine wote 21%.
Tatizo ni viongozi wengi serikalini kujiaminisha wapo 100% hivyo migogoro itatokea tu mpaka pale watakapo jua wana 56% tu na inapingua kila kukicha. Nchi yetu haitaweza kuendelea mpaka pale kuwe na maelewano ya hivi vyama