FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Mimi ni men nina tatzo kubwa sana mdudu wangu akisimama kwa muda mrefu sana inaweza nikawa na mwanamke hiyo siku basi natokea na matatizo ya sehemu ya juu kuuma kama nina ngiri sijui ni tatzo gani but hutokea kila mara nikiwa na mwanamke tukiwa tunachezeaneana tukimaliza mambo tu'ndo shida inaanza hapo huo ugonjwa wa kama ngiri unakuja hapo'baada ya siku mbili mambo yanarudi normal