faraji hassani
Member
- Apr 20, 2015
- 19
- 4
Samahn wakuu ni baada ya kuperuzi mada mbalimbali zilizom katk jamii forum nikaona bora nami nijiunge na kuwa memba wa huu mtandao ili niweze kupanua ubongo Wang ktk uwelewa wa mambo mbalmbal
Karibu sana mgeniSamahn wakuu ni baada ya kuperuzi mada mbalimbali zilizom katk jamii forum nikaona bora nami nijiunge na kuwa memba wa huu mtandao ili niweze kupanua ubongo Wang ktk uwelewa wa mambo mbalmbal
Nakuomba Tu Uwe Mvumilivu Humu Kwani TUMECHANGANYIKANA! Na Nakushauri Hata Kabla Hujapost Kitu Kwanza Uwe Unaniandikia Mimi Nakihariri Kisha Nakuruhusu Upost Na Kubali Mimi Ndiyo Niwe Mwenyeji Wako Mkuu Humu JF Na Kamwe Usifanye Lolote Lile Bila Kunishirikisha Na Usimshirikishe Yoyote Shida Zako Na Siri Zako Zaidi Ya Mimi. Na Hata Kama Utakuwa Unamtaka Demu Na Huwezi Kumtongoza au Kumwingia Uwe Unanitumia Tu Mimi Kwanza Namba Yake Ya Simu ILI Nikutongozee Vizuri Na Akikubali Tu Nitakuwa Nakujulisha Na Mengineyo Mengi Tu Sawa Rafiki Mgeni? Usipokuwa Rafiki Na GENTAMYCINE Utakuwa Umepoteza Problem Solver Wako. Otherwise Karibu Sana Mkuu!
Wa2 kama Haw watatufany tuuhame huu mtandao bila kutmiza hat WK man ana haruf ya utaper
Wa2 kama Haw watatufany tuuhame huu mtandao bila kutmiza hat WK man ana haruf ya utaper
Wa2 kama Haw watatufany tuuhame huu mtandao bila kutmiza hat WK man ana haruf ya utaper
Wa2 kama Haw watatufany tuuhame huu mtandao bila kutmiza hat WK man ana haruf ya utaper
Kwa mwandiko huu.... tegemea kukaribishwa kiume.
Samahn wakuu ni baada ya kuperuzi mada mbalimbali zilizom katk jamii forum nikaona bora nami nijiunge na kuwa memba wa huu mtandao ili niweze kupanua ubongo Wang ktk uwelewa wa mambo mbalmbal
Samahn wakuu ni baada ya kuperuzi mada mbalimbali zilizom katk jamii forum nikaona bora nami nijiunge na kuwa memba wa huu mtandao ili niweze kupanua ubongo Wang ktk uwelewa wa mambo mbalmbal
hq a ha ha ha shemeji mbaya weweNakuomba Tu Uwe Mvumilivu Humu Kwani TUMECHANGANYIKANA! Na Nakushauri Hata Kabla Hujapost Kitu Kwanza Uwe Unaniandikia Mimi Nakihariri Kisha Nakuruhusu Upost Na Kubali Mimi Ndiyo Niwe Mwenyeji Wako Mkuu Humu JF Na Kamwe Usifanye Lolote Lile Bila Kunishirikisha Na Usimshirikishe Yoyote Shida Zako Na Siri Zako Zaidi Ya Mimi. Na Hata Kama Utakuwa Unamtaka Demu Na Huwezi Kumtongoza au Kumwingia Uwe Unanitumia Tu Mimi Kwanza Namba Yake Ya Simu ILI Nikutongozee Vizuri Na Akikubali Tu Nitakuwa Nakujulisha Na Mengineyo Mengi Tu Sawa Rafiki Mgeni? Usipokuwa Rafiki Na GENTAMYCINE Utakuwa Umepoteza Problem Solver Wako. Otherwise Karibu Sana Mkuu!
karibu mgeni aisee ninakusanyaga kila mwezi buku 10, kama ibdani ni iyari kunichangia
sawa mkuuhahahahaaa! nitakuletea usiku kumbuka usinawe mikono na kale kanyau kenu kafungie kabatini
Unakaribishwa pia kwenye kambi ya Lowassa...
da! humu ukipiga hodi shida bora uingie kibabe