Mgeni na chakula Mambo ya kuzingatia

Mgeni na chakula Mambo ya kuzingatia

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Leo tuzungumze kidogo kuhusu chakula hasa kwa wageni wanao tutembelea iwe kwa shida ama kwa raha,

Kuna nyumba zingine ukizitembelea haumalizi wiki unachoka kukaa

Sababu ni wenyeji wako kutokujali muda wa kula au ni kama umeshiba au lah! Hauulizwi kabisa

Au wanapika chakula ambacho wewe hujazoea kukitumia

Nakumbuka mwaka Jana nilienda kufanya kazi ya wring sehemu, nilianza kazi asubuhi saa mbili nipo juu ya dalii lakini mpaka saa 8 tumboni ni empty ile kazi nilitaka isilale lakini ilibidi niilaze tu.

Na baada ya kufunga kazi ndo nikaona wanatenga msosi ilibidi tu nile ili nipatie nguvu za kunifikisha nyumbani,

Ushauri wangu unapokuwa na mgeni nyumbani kwako hakikisha au jitahidi awe anashiba na kula kwa wakati pia,

Hata msibani pia kama unajua Kuna wageni wa kutoka mbali hakikisha unawajali kuhusu chakula sio mpaka mazishi saa 10 huko.
 
Utashiba kwa mkeo, ukitaka kula kwa wakati beba hela zama mgahawa jaza ujazwe. Watu tuko bize vichwa vinachoka mchakamchaka wa kujitafuta....na tumbo lako tena liwe moja ya mawazo yangu kweli????

Wiki kwa watu unatafuta nini kwanza ndugu mgeni rasmi.
 
Ugumu wa maisha unachangia hasa kwa watu wa daslaam Wana roho mbaya kweli wanakula ugali wa kupima kwa dukani kwa machame na mroso.kibaya zaidi wanasukumia na maboga ya natembele jamani mnakula malando nyinyi.sisi kwetu usukumani hayo natembele a.k.a ni chakula ya mbuzi.
Njoeni kwetu usukumani mjionee jinsi tunavyowajari wageni.
Ukiomba maji ya kunywa unaletewa maziwa mtindi na mambatiyo ma viazi matamu ya kuchoma kwenye shikome Cha mbatiyo Cha mashi ga ng'ombe.wewe ukija hautatamani kabisa kurudi ng'wani kwenye mautumbo na maguru ya kuku ya kukaanga
 
Kuna baadhi ya wakati bora ule kivyako fikia hotelini utafurahi zaidi, kuna nyumba nyengine wana simbulia sana.
 
Hiyo kazi ya wiring ukiifanya bure au ulilipwa?...…......
 
Leo tuzungumze kidogo kuhusu chakula hasa kwa wageni wanao tutembelea iwe kwa shida ama kwa raha,

Kuna nyumba zingine ukizitembelea haumalizi wiki unachoka kukaa

Sababu ni wenyeji wako kutokujali muda wa kula au ni kama umeshiba au lah! Hauulizwi kabisa

Au wanapika chakula ambacho wewe hujazoea kukitumia

Nakumbuka mwaka Jana nilienda kufanya kazi ya wring sehemu, nilianza kazi asubuhi saa mbili nipo juu ya dalii lakini mpaka saa 8 tumboni ni empty ile kazi nilitaka isilale lakini ilibidi niilaze tu.

Na baada ya kufunga kazi ndo nikaona wanatenga msosi ilibidi tu nile ili nipatie nguvu za kunifikisha nyumbani,

Ushauri wangu unapokuwa na mgeni nyumbani kwako hakikisha au jitahidi awe anashiba na kula kwa wakati pia,

Hata msibani pia kama unajua Kuna wageni wa kutoka mbali hakikisha unawajali kuhusu chakula sio mpaka mazishi saa 10 huko.
eboo! umeenda kufanya kazi pesa umepewa na chakula unataka upewe.. ukisikia njaa nenda nunua chakula rudi fanya kazi. kwangu hakuna bajeti ya fundi utakula adv.yako nikulipe na chakula nikupe hovyo kbs
 
Utashiba kwa mkeo, ukitaka kula kwa wakati beba hela zama mgahawa jaza ujazwe. Watu tuko bize vichwa vinachoka mchakamchaka wa kujitafuta....na tumbo lako tena liwe moja ya mawazo yangu kweli????

Wiki kwa watu unatafuta nini kwanza ndugu mgeni rasmi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ugumu wa maisha unachangia hasa kwa watu wa daslaam Wana roho mbaya kweli wanakula ugali wa kupima kwa dukani kwa machame na mroso.kibaya zaidi wanasukumia na maboga ya natembele jamani mnakula malando nyinyi.sisi kwetu usukumani hayo natembele a.k.a ni chakula ya mbuzi.
Njoeni kwetu usukumani mjionee jinsi tunavyowajari wageni.
Ukiomba maji ya kunywa unaletewa maziwa mtindi na mambatiyo ma viazi matamu ya kuchoma kwenye shikome Cha mbatiyo Cha mashi ga ng'ombe.wewe ukija hautatamani kabisa kurudi ng'wani kwenye mautumbo na maguru ya kuku ya kukaanga

Sasa wewe mi nikuombe maji yakunywa unileteee maziwa umelogwa mpaka nakuomba maji ujue nina kiu sasa kiu na maziwa wapi na wapi kwani umeambiwa sin au nadini ya zinc mwilini? Niletee nilichokuomba
 
We jamaa una mshipa wa kula na mlafi
Uache kula kwako utegemee kwa wenzako
Dar maisha magumu ungebaki mkoa ujilie dona lako safi
 
Leo tuzungumze kidogo kuhusu chakula hasa kwa wageni wanao tutembelea iwe kwa shida ama kwa raha,

Kuna nyumba zingine ukizitembelea haumalizi wiki unachoka kukaa

Sababu ni wenyeji wako kutokujali muda wa kula au ni kama umeshiba au lah! Hauulizwi kabisa

Au wanapika chakula ambacho wewe hujazoea kukitumia

Nakumbuka mwaka Jana nilienda kufanya kazi ya wring sehemu, nilianza kazi asubuhi saa mbili nipo juu ya dalii lakini mpaka saa 8 tumboni ni empty ile kazi nilitaka isilale lakini ilibidi niilaze tu.

Na baada ya kufunga kazi ndo nikaona wanatenga msosi ilibidi tu nile ili nipatie nguvu za kunifikisha nyumbani,

Ushauri wangu unapokuwa na mgeni nyumbani kwako hakikisha au jitahidi awe anashiba na kula kwa wakati pia,

Hata msibani pia kama unajua Kuna wageni wa kutoka mbali hakikisha unawajali kuhusu chakula sio mpaka mazishi saa 10 huko.
Nashaur msibani kusipikwe kitu[emoji120]

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
We jamaa una mshipa wa kula na mlafi
Uache kula kwako utegemee kwa wenzako
Dar maisha magumu ungebaki mkoa ujilie dona lako safi
Vipi kama ametoka kwake asubuhi sana na maeneo anapofanyia kazi hakuna mgahawa ?
Nikitazama kwa mbaali naona yupo sahihi, watanzania ni utaratibu wetu kulisha wageni hata kama umemlipa afanye hiyo kazi. Lakini pia hao wenyeji wake labda walikuwa busy hakuna muda wa kupika
 
Beba msosi wako toka kwako fundii,,Kwani ulikuja fanya kazi au kufuatilia ratiba za kula Kwa waajiri wako??Acha unaa Fundii fanya kazi!!
 
Kuna siku moja nilienda ugenini. Mimi si aina ya watu wa kisahani kidunchu.

Mimi nataka sahani la kushiba, siyo nakula size ya watoto.

Sasa utaratibu ni kuwa chakula kinapakuliwa jikoni, kila mtu kwa size yake. Ile aibu ya ugenini, nikawaacha wenyeji wangu wawili watangulie. Kila mmoja kwa muda wake.

Nafika jikoni, nakuta wali maharage nazi. Sitoahiba, ugali uwe mdogo lakini si wali. Sahani ndogo kama watumiazo watoto wangu nyumbani. Nikasema acha nivunge, kuomba sahani kubwa aibu. Nilishaona kiwango walichojipakulia wenyeji.

Nikafikiri nikasema nikiweka wali mlima wataning'ong'a. Nafanyaje? Huko nje migahawa ya maana hakuna.

Nilichofanya niliweka wali, kisha nashindilia kwa mikono. Mtu unaona size ya kawaida kumbe mzigo umeshindiliwa kwa chini. Walau nilijisikia ahueni japo sikushiba.

Mkipata mgeni hebu kiwango cha chakula nacho kiongezeke.
 
Ugumu wa maisha unachangia hasa kwa watu wa daslaam Wana roho mbaya kweli wanakula ugali wa kupima kwa dukani kwa machame na mroso.kibaya zaidi wanasukumia na maboga ya natembele jamani mnakula malando nyinyi.sisi kwetu usukumani hayo natembele a.k.a ni chakula ya mbuzi.
Njoeni kwetu usukumani mjionee jinsi tunavyowajari wageni.
Ukiomba maji ya kunywa unaletewa maziwa mtindi na mambatiyo ma viazi matamu ya kuchoma kwenye shikome Cha mbatiyo Cha mashi ga ng'ombe.wewe ukija hautatamani kabisa kurudi ng'wani kwenye mautumbo na maguru ya kuku ya kukaanga
Umenichekesha lakini umeongea ukweli kabisa .

Back in days niliwahi kufika kisesa mwanza , nikapokelewa na msukuma aisee kwanza kufika kwake kuku kadondoshwa , msosi kuletwa pale ni mambo kibao mara kuku , mara maini na ugali mkubwa hapo usisahau na maziwa mtindi yako pembeni yananisubiri alafu ajabu wananipakulia wao , wanajaza sahani utafikiri tunakula watu kumi[emoji848]

Nilienjoy maisha ya pale , yaaani nilikuwa nalala nimeshiba haswa usiku ni mwendo wa sauti tu kwenye mablanketi hapo sijazungumzia chakula cha mchana .

Aisee hawa jamaa waache tu ni wakarimu sana .

Popote ulipo Limbe jua nakuheshimu sana Bro

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
ukija kwangu fuata sheria hutaki ondoka sijakuita, nitapika kile nina ham nacho au nna uwezo nacho unataka nikubadilishie chakula umekuja na mchele
 
Back
Top Bottom