Mgeni na chakula Mambo ya kuzingatia

manyanyaso mnayataka wenyewe ukienda sehem beba hela zako babuu, hukushiba zama migahawani ukajazie ukitaka ule ushibe beba debe la unga, mchele utapendwa sanaa nautakula utashiba halaf mkute ndio nyie mnakula sana ugenini kazi hamfanyi
 

Inategemea na makubaliano yao.
Dar huwezi kufananisha na mikoani, town watu unga wanapima kwa Mangi.
Na sio kila sehemu watu wote watakuwazia tumbo lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…