This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Msimu 2021/2022Mbumbumbu katika ubora wake. Siku zote wanafikiri mpira unachezwa mdomoni.
Wakiingia uwanjani, wanautafuta mpira kwa tochi na ile papatu papatu yao.
Simba 2-0 Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu 2021/2022Mbumbumbu katika ubora wake. Siku zote wanafikiri mpira unachezwa mdomoni.
Wakiingia uwanjani, wanautafuta mpira kwa tochi na ile papatu papatu yao.
Nabi nae leo hafai.Mind game ya kitoto sana, hii sio Yanga ya Nabi.
Ah hiko wazi mambo yetu sisi kivyetu vyetuKlabu ya Simba ambayo ni mwenyeji katika mchezo wake wa wikend hii dhidi ya Yanga imemtangaza Kibu Dennis kama mgeni rasmi wa mchezo huo.
Hili ndio soka letu sasa kivyetuvyetu.
View attachment 2797825
Jumapili Dar itkw ni kijani na njano.Hakika mkuu, inabidi tuondoe hii fedheha.
Alikut***a?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi yanga damu il kibu de mtombangile namuogopa
Na ndiyo ulikuwa ubingwa wenu huu! Mpaka mwenyekiti Mangungu aliutolea tamko.
Simba ni timu inayoendeshwa kihuni huni, hapo wanajaribu kukopi and paste ubunifu unaofanywa na Yanga lkn wamefeli pakubwa mana hii imekaa kihuni sana.Klabu ya Simba ambayo ni mwenyeji katika mchezo wake wa wikend hii dhidi ya Yanga imemtangaza Kibu Dennis kama mgeni rasmi wa mchezo huo.
Hili ndio soka letu sasa kivyetuvyetu.
View attachment 2797825
KIBU DEE MTOMBANGILE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi yanga damu il kibu de mtombangile namuogopa
Una akili sana.Sometimes hivi vitu ni kuwapa panic wachezaji mechi ya Derby unambebesha mzigo mchezaji mwisho wa siku aki ingia uwanjani anakua na deni ,sio kitu kibaya ila kwa big game sioni kama ni sahihi