Mgeni Rasmi mechi ya Simba Vs Yanga ni Kibu Dennis

Mgeni Rasmi mechi ya Simba Vs Yanga ni Kibu Dennis

Mbumbumbu katika ubora wake. Siku zote wanafikiri mpira unachezwa mdomoni.
Wakiingia uwanjani, wanautafuta mpira kwa tochi na ile papatu papatu yao.
Msimu 2021/2022

Simba 2-0 Yanga
Screenshot_20231025-195016.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi yanga damu il kibu de mtombangile namuogopa
 
Klabu ya Simba ambayo ni mwenyeji katika mchezo wake wa wikend hii dhidi ya Yanga imemtangaza Kibu Dennis kama mgeni rasmi wa mchezo huo.

Hili ndio soka letu sasa kivyetuvyetu.

View attachment 2797825
Simba ni timu inayoendeshwa kihuni huni, hapo wanajaribu kukopi and paste ubunifu unaofanywa na Yanga lkn wamefeli pakubwa mana hii imekaa kihuni sana.
 
Sometimes hivi vitu ni kuwapa panic wachezaji mechi ya Derby unambebesha mzigo mchezaji mwisho wa siku aki ingia uwanjani anakua na deni ,sio kitu kibaya ila kwa big game sioni kama ni sahihi
Una akili sana.
 
Back
Top Bottom