Mgodi wa North Mara imeleta maafa Ziwa Victoria tena, Serikali inajiuma uma tu kwa kamati feki

Mgodi wa North Mara imeleta maafa Ziwa Victoria tena, Serikali inajiuma uma tu kwa kamati feki

Patriot

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2008
Posts
5,705
Reaction score
4,703
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.

Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi.

Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira.

Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.

Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo.

Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi.

Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi.

Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.

Haya ndo mawazo ya wakulima mitaani:

Manyere.png
 
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.

Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi. Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira. Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.

Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo. Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi. Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi. Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.
Kutokuwa makini kwao umekupimaje?

Walishapewa kazi kama hii wakaboronga?

Kina nani ambao wako makini ulitamani wawepo kwenye kamati?

Ni mtanzania gani asiependa pesa?
 
Kule Nemc siku hizi kumedorora sana Anahangaika Mkurugenzi Mkuu tu nadhani hana watu Imara pale
 
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.

Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi. Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira. Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.

Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo. Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi. Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi. Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.
Tumerudi kwenye zama za kuficha uovu kwa maslahi ya wachache.

Na hapa tatizo sii chama bali ni kiongozi mkuu.

Naamini kwa awamu iliyopita pamoja na mapungufu yake; asingeweza kuvumilia kuna watu wangeshatumbuliwa.

Ila ndio hivyo hatuna budi kukubali kwamba kila zama na kurasa zake hata kama kitabu ni kilekile.

Wanakula kwa urefu wa kamba zao
 
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.

Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi. Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira. Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.

Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo. Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi. Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi. Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.
Tanzania kwisheni
 
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.

Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi. Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira. Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.

Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo. Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi. Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi. Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.

..serikali sio mbia ktk hiyo kampuni?
 
Tatizo letu sisi ni kutanguliza siasa mbele badala ya taaluma za watu.

Uchimbaji wa mafini ni laana "resource curse". Tahadhari zilipaswa kuchukuliwa!

Sayansi inasema kuwa huwezi kuwa na mgodi wa madini karibu na vyanzo vya maji alafu ukakosa sheria kali ya kudhibiti uchafuzi na kuwawajibisha wachafuzi...

Precautionary principle...
Polluter pays principle...

Sisi tuna EMA 2004 na NEMC 2008 zote hazina meno zikiwa chini ya waziri asiyejua chochote!!

Wananchi wa Kanda ya Ziwa wanaendelea kupata kansa na madhara lukuki.
 
Mleta uzi una wivu au chuki zako binafsi na huo mgodi wa north mara, una uhakika gani wa ki science kuwa north mara ndiyo walio leta maafa ziwa victoria??

Kanda ya ziwa kuna viwanda vingapi vinavyo mwaga majitaka yao ziwa victoria??

Kwanza tengeneza data zako za uongo ndiyo utie mgodi wa north mara hatia, kama alivyo fanya jiwe kwenye makinikia!
 
Wabunge waliopo wote midomo kimyaa maana ni vibaraka wa dola,Zitto nae anaejinasibu chama chake ndio chama kikuu cha upinzani yuko busy kumtetea mtawala kwa kofia ya udini na kazi yake ya ukibaraka kwa chama tawala!!

Wananchi hawana sauti ya wawakilishi wa kuwasemea kwenye mihimili,wale feki wakina Bulaya na Mdee hawawezi hata kuunyanyua mdomo maana wanajua mabosi zao ni hao dola!!
 
Anajipimia kwa urefu wa kamba mamilioni wakifa kwa saratani na magonjwa mengine yasiyoeleweka........

Mwenyezi Mungu atakapoijilia nchi hii kuna watu watatafuta kujificha chini ya miamba.........yaani unachukua rushwa ili watu waangamie kwa kunywa maji yenye kemikali!?
 
Mwaka Juzi Kulikua na Kamati Iliyokua inakagua Mgodi huo na maeneo kadhaa nadhani Kuna hatua zilichukuliwa ila naambiwa wengi wao walihujumiwa ama wakahamishwa Nemc au wakafanyiwa mizengwe tofauti
 
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.

Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi. Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira. Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.

Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo. Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi. Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi. Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.
Hata baadae kidogo tunaweza kupoteza soko la samaki wanaopelekwa nje ya nchi.

Wale wakikuta samaki aliye na viini vya sumu basi ulaya yote inakata ununuzi.

Isije kuwa kweli sumu inamwagwa ziwani.
 
Anajipimia kwa urefu wa kamba mamilioni wakifa kwa saratani na magonjwa mengine yasiyoeleweka........Mwenyezi Mungu atakapoijilia nchi hii kuna watu watatafuta kujificha chini ya miamba.........yaani unachukua rushwa ili watu waangamie kwa kunywa maji yenye kemikali!?
Naona haumjui mtu mweusi wewe..hamnazo!!!
 
Kamati nyingi zineundwa nchi hii...ni reports zake huishia huko na kamati zake.

Wananchi huishia kupewa majibu ya kisiasa.

Na huenda wanakamati hufungwa midomo kwa dhana ya kuwa wanacheza na maslahi ya nchi.

Hivi zaidi ya haki na utu wa wananchi wa nchi hii kuna maslahi gani zaidi?

Iko siku tutafika tu
 
Back
Top Bottom