Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Hili siyo tatizo jipya! Linathibitisha uzembe wa serikali ya CCM.
Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi.
Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira.
Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.
Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo.
Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi.
Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi.
Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.
Haya ndo mawazo ya wakulima mitaani:
Wakati mh. Sitta akiwa Spika na mama Makinda naibu wake, uchunguzi wa aina hii ulifanyika, lakini ajabu kabisa hata Sitta alikuwa analazimiasha ionekane hakuna tatizo la mgodi.
Ni wazi kwamba North Mara Gold mine ltd wanatumia pesa kuficha ukweli na kuumiza wananchi na mazingira.
Kwa ujumla wananchi wote wa TZ tunaumizwa maana tunakula samaki wa ziwa nchi nzima.
Hii kamati ya sasa imeundwa na waziri Jaffo.
Naiona ni kama uchafu tu! Uchafuzi wa kemikali ulihitaji watu makini zaidi.
Siwaoni hapo! Naweza kusema hii imeundwa kutuliza vumbi.
Waziri kisha ramba kiasi chake anachoweza na kazi iendelee.
Haya ndo mawazo ya wakulima mitaani: