Mgodi wa North Mara imeleta maafa Ziwa Victoria tena, Serikali inajiuma uma tu kwa kamati feki

You are correct Braza! Mtu kama huyu kujiita Profesa, ameongeza idadi ya wale wa aina ya Lipumba. Sidhani kama aliheshimu sheria za uandishi ili angalau pitio la maandishi ya wengine limpe support kwamba kinyesi cha ng'ombe ni sumu. He is just a hopeless lame scholar. Unfortunately aliwahi kuwa mkemia mkuu wa serikali bila credentials, Nimeona mtu akieleza kumbe alipewa kikabila na PM aliyepita.
 
Mtakwisha kwa Kansa huko Kanda ya Ziwa .
 
Ukiwa huna Utu hata baba yako utamuuwa kwa thamani ndogo

Sio eti ndio tumefika huku hapana ni tabia na hulka ya mswahili
 
Mlisema huko lake zone ni sehemu sahihi ya kuishi mbona mnaanza kuulizana?

Na bado,mgodi mpya unafunguliwa sengerema tena mkubwa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…