Mgogoro NCCR Mageuzi: Timu Mbatia wachukua ofisi, wasema umefanyika uhaini ndani ya chama, Mbatia bado ni mwenyekiti

Mgogoro NCCR Mageuzi: Timu Mbatia wachukua ofisi, wasema umefanyika uhaini ndani ya chama, Mbatia bado ni mwenyekiti


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Edward Simbeye amezungumza na waandishi wa habari leo Mei 21, 2022 na kudai kuwa kilichofanywa na kundi lililojipa sura ya Halmashauri Kuu ndani ya chama hicho mapema leo ni uhaini.

Awali ilitolewa taarifa kuwa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi Mkutano Mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma inazowakubali.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Mwenyekiti wa azimio hilo, Joseph Selasini alisema pamoja na kusimamishwa kwa viongozi hao pia wamelivunja Baraza la Wadhamini la NCCR na kuteua wajumbe wapya ambao watasajiliwa kwa mujibu wa taratibu zitakazowekwa.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza naye alikiri kupokea barua kutoka NCCR-Mageuzi kuwa kuna mabadiliko ya wajumbe wa bodi ya wadhami.

Baada ya tamko hilo ndipo muda mfupi baadaye Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi, Martha Chiomba, alifunga ofisi za chama hicho zilizopo Ilala, Dar es Salaam, ili kumzuia James Mbatia.

Baada ya tukio hilo, wanachama wanaomuunga mkono Mbatia ndani ya chama hicho walifika ofisini hapo na kufanikiwa kuingia ndani kisha kuzungumza na Wanahabari wakisema waliotangaza kumsimamisha Mbatia hawana mamlaka n ahata akidi haikutimia.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Edward Simbeye amesema:

“Kilichofanyika ni uhaini na uhuni ndani ya chama na hatuwezi kukubali kilichofanyika, chama kitakaa na kufanya maamuzi, kinachotusikitisha zaidi Msajili wa Vyama vya Siasa ameshiriki katika uhuni huu.

“Huwezi kuvunja Bodi ya Wadhamini au kumsimamisha Mwenyekiti kihuni.

“Msajili haoni hata haya, alijulishwa aliyekuwa Katibu Mkuu amesimamishwa inakuaje anapokea maamuzi yanayofanywa na watu kama hao.

“Sisty Nyahoza ndiye anaendesha haya makundi, anafadhili haya makundi na tuna uhakika, ukifika wakati tutaweka ushahidi hadharani. Huyu ndiye mhuni wa kwanza katika huu mchezo mchezo mchafu.

“Huyo aliyeitwa Katibu Mkuu (Martha Chiomba) alisimamishwa katika Kikao cha Kamati Kuu, anayekaimu ni Anthony Kom hakushiriki kwenye hicho kikao na hajui kama kuna hicho kikao walichofanya.

“Hao Wahuni walikuja kujaribu kufunga ofisi lakini tumewadhibiti na ndio maana tupo ofisini hapa, ofisi ipo chini ya wanachama. Tutaudhibiti uhuni wao, tumejipanga na tupo imara, hakuna ambaye ataweza kuivuruga NCCR Mageuzi.”


Pia Soma > NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Watakuja kupigana risasi wasipokuwa makini.
 

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Edward Simbeye amezungumza na waandishi wa habari leo Mei 21, 2022 na kudai kuwa kilichofanywa na kundi lililojipa sura ya Halmashauri Kuu ndani ya chama hicho mapema leo ni uhaini.

Awali ilitolewa taarifa kuwa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi Mkutano Mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma inazowakubali.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Mwenyekiti wa azimio hilo, Joseph Selasini alisema pamoja na kusimamishwa kwa viongozi hao pia wamelivunja Baraza la Wadhamini la NCCR na kuteua wajumbe wapya ambao watasajiliwa kwa mujibu wa taratibu zitakazowekwa.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza naye alikiri kupokea barua kutoka NCCR-Mageuzi kuwa kuna mabadiliko ya wajumbe wa bodi ya wadhami.

Baada ya tamko hilo ndipo muda mfupi baadaye Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi, Martha Chiomba, alifunga ofisi za chama hicho zilizopo Ilala, Dar es Salaam, ili kumzuia James Mbatia.

Baada ya tukio hilo, wanachama wanaomuunga mkono Mbatia ndani ya chama hicho walifika ofisini hapo na kufanikiwa kuingia ndani kisha kuzungumza na Wanahabari wakisema waliotangaza kumsimamisha Mbatia hawana mamlaka n ahata akidi haikutimia.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Edward Simbeye amesema:

“Kilichofanyika ni uhaini na uhuni ndani ya chama na hatuwezi kukubali kilichofanyika, chama kitakaa na kufanya maamuzi, kinachotusikitisha zaidi Msajili wa Vyama vya Siasa ameshiriki katika uhuni huu.

“Huwezi kuvunja Bodi ya Wadhamini au kumsimamisha Mwenyekiti kihuni.

“Msajili haoni hata haya, alijulishwa aliyekuwa Katibu Mkuu amesimamishwa inakuaje anapokea maamuzi yanayofanywa na watu kama hao.

“Sisty Nyahoza ndiye anaendesha haya makundi, anafadhili haya makundi na tuna uhakika, ukifika wakati tutaweka ushahidi hadharani. Huyu ndiye mhuni wa kwanza katika huu mchezo mchezo mchafu.

“Huyo aliyeitwa Katibu Mkuu (Martha Chiomba) alisimamishwa katika Kikao cha Kamati Kuu, anayekaimu ni Anthony Kom hakushiriki kwenye hicho kikao na hajui kama kuna hicho kikao walichofanya.

“Hao Wahuni walikuja kujaribu kufunga ofisi lakini tumewadhibiti na ndio maana tupo ofisini hapa, ofisi ipo chini ya wanachama. Tutaudhibiti uhuni wao, tumejipanga na tupo imara, hakuna ambaye ataweza kuivuruga NCCR Mageuzi.”


Pia Soma > NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama
Poor NCCR MAGEUZI😡
 
Wenyeviti wa hizi SACCOS kutoka Kaskazini wameona kama uenyekiti ni haki zao,Mbatia pamoja na Mbowe ni wenyeviti kwa muda mrefu hawana tofauti na raisi wa Uganda M7,
Huyo Anton Komu anayetajwa kama kaimu katibu mkuu alitoka nccr akaenda chadema; kumbe alirudi tena nccr.

Wao kila wanapokwenda ni kutafuta ukubwa kwa njia za kihuni na kusababisha migogoro.
 
Hiyo ni ccm na serikali yake isiyo na ridhaa ya watanzania ndio wanafanya huo uhuni kisa ni Mbatia kukataa kushiriki kwenye ule mkutano feki ulioandaliwa na serikali.

Tena ni serikali ndiyo imetoa hata pesa za kugharamia huo mkutano na kumpatia Selasini na ndio maana hata msajili alikuwepo kwenye huo mkutano.

Serikali ya ccm siku zote inachokifanya ni kupambana na upinzani na kwa kuwa mshika mbili moja humponyoka ndio maana nchi haiwezi kuendelea kwa sababu serikali nguvu kubwa wanapeleka kwenye kupambana na upinzani.

Hiyo ndiyo ajenda kubwa ya ccm na haijalishi nani yuko madarakani hata hatoke huyu mama aingie mwingine sera ni hiyo hiyo na kama tutaendelea kuwa na hii katiba yao mwisho hii nchi itakuwa takataka kabisa.
 
Vita ya pazi vuraha kwa kunguru .Hapo lazima kuna watu wanakitaka kiti cha uwenjekiti kwa kutumia usnitch
 
Kabla ya chadema alikuwa wapi?!

Mtu yoyote mwenye umri zaidi ya miaka 50 lazima alikuwa CCM hata kama alikuwa hataki. Zamani hizo kila mtu mwenye umri wa miaka 18+ alikuwa na kadi ya CCM kwa lazima, wakati wengi hawakuwa na vitambulisho.
 
Huyu selAsini ni chawa na funza hatakiwi kwenye chama, ikiwezekana chama kimtimue kama chadema ilivyomtimua
 
System ipo kazini kumzima Mbatia kwasababu ya msimamo wake anaouonesha siku hizi kuhusu hali ya kidemokrasia nchini, wale kina Selasini ni wasaliti ndani ya NCCR.
 

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Edward Simbeye amezungumza na waandishi wa habari leo Mei 21, 2022 na kudai kuwa kilichofanywa na kundi lililojipa sura ya Halmashauri Kuu ndani ya chama hicho mapema leo ni uhaini.

Awali ilitolewa taarifa kuwa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti Bara, Angelina Mtahiwa kutojihusisha na shughuli zozote za chama hadi Mkutano Mkuu utakapoitishwa ili wajieleze kuhusiana na tuhuma inazowakubali.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Mwenyekiti wa azimio hilo, Joseph Selasini alisema pamoja na kusimamishwa kwa viongozi hao pia wamelivunja Baraza la Wadhamini la NCCR na kuteua wajumbe wapya ambao watasajiliwa kwa mujibu wa taratibu zitakazowekwa.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza naye alikiri kupokea barua kutoka NCCR-Mageuzi kuwa kuna mabadiliko ya wajumbe wa bodi ya wadhami.

Baada ya tamko hilo ndipo muda mfupi baadaye Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi, Martha Chiomba, alifunga ofisi za chama hicho zilizopo Ilala, Dar es Salaam, ili kumzuia James Mbatia.

Baada ya tukio hilo, wanachama wanaomuunga mkono Mbatia ndani ya chama hicho walifika ofisini hapo na kufanikiwa kuingia ndani kisha kuzungumza na Wanahabari wakisema waliotangaza kumsimamisha Mbatia hawana mamlaka n ahata akidi haikutimia.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Edward Simbeye amesema:

“Kilichofanyika ni uhaini na uhuni ndani ya chama na hatuwezi kukubali kilichofanyika, chama kitakaa na kufanya maamuzi, kinachotusikitisha zaidi Msajili wa Vyama vya Siasa ameshiriki katika uhuni huu.

“Huwezi kuvunja Bodi ya Wadhamini au kumsimamisha Mwenyekiti kihuni.

“Msajili haoni hata haya, alijulishwa aliyekuwa Katibu Mkuu amesimamishwa inakuaje anapokea maamuzi yanayofanywa na watu kama hao.

“Sisty Nyahoza ndiye anaendesha haya makundi, anafadhili haya makundi na tuna uhakika, ukifika wakati tutaweka ushahidi hadharani. Huyu ndiye mhuni wa kwanza katika huu mchezo mchezo mchafu.

“Huyo aliyeitwa Katibu Mkuu (Martha Chiomba) alisimamishwa katika Kikao cha Kamati Kuu, anayekaimu ni Anthony Kom hakushiriki kwenye hicho kikao na hajui kama kuna hicho kikao walichofanya.

“Hao Wahuni walikuja kujaribu kufunga ofisi lakini tumewadhibiti na ndio maana tupo ofisini hapa, ofisi ipo chini ya wanachama. Tutaudhibiti uhuni wao, tumejipanga na tupo imara, hakuna ambaye ataweza kuivuruga NCCR Mageuzi.”


Pia Soma > NCCR Mageuzi yamsimamisha James Mbatia kufanya shughuli za Chama

Ila CHADEMA imetapakaa Sana. Huyu Simbeye alikuwa CHADEMA miaka ya nyuma hapo. Kweli CHADEMA ni kiwanda Cha kutengeneza wanasiasa. Mpaka CCM walienda kununua huko baada ya kuona kwao ni magalasa. Keep it up CHADEMA.
 
Wenyeviti wa hizi SACCOS kutoka Kaskazini wameona kama uenyekiti ni haki zao,Mbatia pamoja na Mbowe ni wenyeviti kwa muda mrefu hawana tofauti na raisi wa Uganda M7, hawa hawa ndio wanatoa mapovu majukwaani kudai demokrasia na katiba mpya wakati kwenye vyama vyao hakuna demokrasia wala mabadiliko ya katiba,ninachojiuliza wanang'ania uongozi kwa maslahi yapi? sio bure haiwezekani mtu miaka 20 baado upo palepale sijui wakipewa uraisi si ndio watajimilikisha nchi, wachaga acheni hizo bana, kuna maisha nje ya siasa na uenyekiti.

Unaziita SACCOS Halafu unataka zifanye demokrasia. Acha dharau na kiburi. Zingekuwa SACCOS mngefanya uchafuzi wa 2019 na 2020. Mngewaingilia CHADEMA kwenye viti maalum?. Acheni dharau wakati mkizidiwa mnawamiminia Risasi na kuwabambikizia kesi za ugaidi. Acha dharau maana Rais wa nchi ana jua thamani ya hivi vyama ndio maana anaongea nao ikulu.
 
Wenyeviti wa hizi SACCOS kutoka Kaskazini wameona kama uenyekiti ni haki zao,Mbatia pamoja na Mbowe ni wenyeviti kwa muda mrefu hawana tofauti na raisi wa Uganda M7, hawa hawa ndio wanatoa mapovu majukwaani kudai demokrasia na katiba mpya wakati kwenye vyama vyao hakuna demokrasia wala mabadiliko ya katiba,ninachojiuliza wanang'ania uongozi kwa maslahi yapi? sio bure haiwezekani mtu miaka 20 baado upo palepale sijui wakipewa uraisi si ndio watajimilikisha nchi, wachaga acheni hizo bana, kuna maisha nje ya siasa na uenyekiti.
Unashangaa hayo tu!hushangai mtu ni Rais na bado ni mwenyekiti wa chama,wakati huo huo wenzie anawaambia lazima mchague kimoja!! Na siku ya uchaguzi inaandaliwa fomu ya mgombea mmoja tu kwenye nafasi ya mwenyekiti?
 
Back
Top Bottom