Mgogoro wa ardhi Ngorongoro usiposhughulikiwa vizuri waweza kuwa kitisho cha usalama kwa Taifa

Mgogoro wa ardhi Ngorongoro usiposhughulikiwa vizuri waweza kuwa kitisho cha usalama kwa Taifa

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mgogoro wa ardhi ya wamasai kule ngorongoro usiposhughulikiwa kwa hekima na busara basi waweza geuka kuwa kitisho kikubwa cha usalama wa Taifa kwa sababu kama nilivyowahi sema hapo zamani kwenye makala yangu jinsi idara zetu za usalama zimejikita na siasa kiasi mataifa yakigeni yanatengeneza vita yetu wenyewe kwa wenyewe bila kujuwa na mwisho tunaona haya tunayaona.

Bila kuishutumu nchi awaye yoyote ila nataka kuamini mgogoro wa Ngorongoro ni moja ya usatadi mkubwa wa ki intelligence wa mataifa jirani kutuweka njia panda kama Taifa.

Huu mgogoro sio wakuubeza wala kuuchukua poa maana unaweza leta maafa yanayo onekana na yasio onekana na mwisho uchumi wetu ktk secta ya utalii.
Niukweli mchungu usio pingika kupitia vyanzo tofauti vya taarifa huu mgogoro unaweza hata kuatarisha usalama ndani ya serikali na hata idara nyeti za taifa.

Hakuna mmasasi atakubali kuondoka ngorongoro... Nakama wataondolewa basi serikali itajiandaa na visasi vya ndani kwa ndani na mwisho watarudi tena ktk ardhi yao.

Vita ya ngorongoro haina mshindi na kila anaye shadadia hili janga hili nikwamba hajuwi unyeti wa hili swala na vile madhara yake yatakuwa makubwa kwa taifa na uchumi.

Vita inapiganwa pale Israel na Palestinian ni ugomvi wa ardhi nikweli Tz nikubwa ila kumuondoa mtu mahali pana asili ya uwepo wao nikumtoboa macho while akikuangalia.

Tumechelewa sana na tumekumbuka shuka kumekucha while wenye remote wakiwa mbali na kumchezesha mwanasesere ndani ya taifa.

Tulikuwa wapi mpaka watu wanaingia eneo la hifadhi nakuzidi idadi ilikubalika? Mbaya zaidi kwa hali ya sasa wapo vijana na wasomi ktk jamii ile wengine wapo ktk mifumo yetu ya usalama na nje ya taifa hii vita sio vita nzuri.

Ni vita mbaya ambayo kama taifa na serikali ijitafaka na kuja na njia mbadala kuepusha visasi kule ngorongoro.

Nimalizie kwa kusema idara zetu za usalama ikiwa hazitokuwa makini na kitisho cha idara za mataifa yakigeni kuligawa hili taifa na kuhamgaika na siasa za ndani basi sitoshangaa kuona mambo hayakudhaniwa.

Wakati mataifa jirani yanapanga kutukamua nakutugawa idara zetu zipo very biz na mambo ya huyu kasema nini au kufanya nini kwenye siasa. Wakati idara zinapambana na upinzani wenzetu wanacheza na malizetu kama mali zao.

Nita waambia jambo la ajabu sana sana na mimi naomba nionyeshe ni jinsi gani mfumo wetu wakiusalama tusipo uwangalia tunakwenda kulitesa hili taifa.
Niwakumbushe tukio la hivi majuzi, tukio hili sio la kawaida ambapo Rais wetu alifanya safari yakikazi nchi ya jirani ya Mozambique nakukutana na Rais wa taifa lile namoja ya mambo waliongea ni issue ya usalama ktk ukanda wa mpaka wa kusini. Baada ya ile safari Rais alirudi Tz.
Amini usiamini Rais wa Rwanda haikupita siku chache alienda Mozambique na ktk mambo ya ajabu alio yafanya ambayo ni fedhea kwa taifa nakama kutuzaba kibao cha uso. Kagame ali ruhusu kuhojiwa mmoja ya magaida na kusema hao magaidi nikutoka Tz na walikuwa wakiomba radhi. Baada ya hapo ile taarifa ilirushwa ktk vyombo vya kimataifa huku Rwanda ikijitapa tangu waingie Mozambique magaidi wakoma na wale magaidi wakakiri kweli Rwanda imewachapa nakuwadhoofisha.

Ndugu zangu kwa mtu asie juwa anaweza kuona tukio hili nilakawaida ila sio lakawaida. Rwanda nikama wamelipiza kisasi kutokana na uwepo wetu kule Kongo na pia kwa wale hamjuwi Rwanda imekuwa na mgogoro na Tz wachinichini tangu enzi za Kikwete.
Well nisiandike sana ila yapo mambo ni siri sana na nikitisho cha kesho ya Tz na Tanganyika.

Nilazima tuchaguwe moja ili kutoka hapa tulipo nje ya hapo kesho yetu ni mashaka tupu. End
 
Enyi Wamasai ardhi ya nchi hii ni kubwa na ardhi ya matumizi ya kibinadamu ni kubwa sana hebu kuweni wazalendo muachie wanyamapori nao ardhi yao
 
Na kama vipi watakuwepo ambao watakuwa tayari kuingia vita ya umwagaji damu kulinda Mazingira yetu na rasilimali za taifa letu
 
Mgogoro wa ardhi ya wamasai kule ngorongoro usiposhughulikiwa kwa hekima na busara basi waweza geuka kuwa kitisho kikubwa cha usalama wa Taifa kwa sababu kama nilivyowahi sema hapo zamani kwenye makala yangu jinsi idara zetu za usalama zimejikita na siasa kiasi mataifa yakigeni yanatengeneza vita yetu wenyewe kwa wenyewe bila kujuwa na mwisho tunaona haya tunayaona.

Bila kuishutumu nchi awaye yoyote ila nataka kuamini mgogoro wa Ngorongoro ni moja ya usatadi mkubwa wa ki intelligence wa mataifa jirani kutuweka njia panda kama Taifa.

Huu mgogoro sio wakuubeza wala kuuchukua poa maana unaweza leta maafa yanayo onekana na yasio onekana na mwisho uchumi wetu ktk secta ya utalii.
Niukweli mchungu usio pingika kupitia vyanzo tofauti vya taarifa huu mgogoro unaweza hata kuatarisha usalama ndani ya serikali na hata idara nyeti za taifa.

Hakuna mmasasi atakubali kuondoka ngorongoro... Nakama wataondolewa basi serikali itajiandaa na visasi vya ndani kwa ndani na mwisho watarudi tena ktk ardhi yao.

Vita ya ngorongoro haina mshindi na kila anaye shadadia hili janga hili nikwamba hajuwi unyeti wa hili swala na vile madhara yake yatakuwa makubwa kwa taifa na uchumi.

Vita inapiganwa pale Israel na Palestinian ni ugomvi wa ardhi nikweli Tz nikubwa ila kumuondoa mtu mahali pana asili ya uwepo wao nikumtoboa macho while akikuangalia.

Tumechelewa sana na tumekumbuka shuka kumekucha while wenye remote wakiwa mbali na kumchezesha mwanasesere ndani ya taifa.

Tulikuwa wapi mpaka watu wanaingia eneo la hifadhi nakuzidi idadi ilikubalika? Mbaya zaidi kwa hali ya sasa wapo vijana na wasomi ktk jamii ile wengine wapo ktk mifumo yetu ya usalama na nje ya taifa hii vita sio vita nzuri.

Ni vita mbaya ambayo kama taifa na serikali ijitafaka na kuja na njia mbadala kuepusha visasi kule ngorongoro.

Nimalizie kwa kusema idara zetu za usalama ikiwa hazitokuwa makini na kitisho cha idara za mataifa yakigeni kuligawa hili taifa na kuhamgaika na siasa za ndani basi sitoshangaa kuona mambo hayakudhaniwa.

Wakati mataifa jirani yanapanga kutukamua nakutugawa idara zetu zipo very biz na mambo ya huyu kasema nini au kufanya nini kwenye siasa. Wakati idara zinapambana na upinzani wenzetu wanacheza na malizetu kama mali zao.

Nita waambia jambo la ajabu sana sana na mimi naomba nionyeshe ni jinsi gani mfumo wetu wakiusalama tusipo uwangalia tunakwenda kulitesa hili taifa.
Niwakumbushe tukio la hivi majuzi, tukio hili sio la kawaida ambapo Rais wetu alifanya safari yakikazi nchi ya jirani ya Mozambique nakukutana na Rais wa taifa lile namoja ya mambo waliongea ni issue ya usalama ktk ukanda wa mpaka wa kusini. Baada ya ile safari Rais alirudi Tz.
Amini usiamini Rais wa Rwanda haikupita siku chache alienda Mozambique na ktk mambo ya ajabu alio yafanya ambayo ni fedhea kwa taifa nakama kutuzaba kibao cha uso. Kagame ali ruhusu kuhojiwa mmoja ya magaida na kusema hao magaidi nikutoka Tz na walikuwa wakiomba radhi. Baada ya hapo ile taarifa ilirushwa ktk vyombo vya kimataifa huku Rwanda ikijitapa tangu waingie Mozambique magaidi wakoma na wale magaidi wakakiri kweli Rwanda imewachapa nakuwadhoofisha.

Ndugu zangu kwa mtu asie juwa anaweza kuona tukio hili nilakawaida ila sio lakawaida. Rwanda nikama wamelipiza kisasi kutokana na uwepo wetu kule Kongo na pia kwa wale hamjuwi Rwanda imekuwa na mgogoro na Tz wachinichini tangu enzi za Kikwete.
Well nisiandike sana ila yapo mambo ni siri sana na nikitisho cha kesho ya Tz na Tanganyika.

Nilazima tuchaguwe moja ili kutoka hapa tulipo nje ya hapo kesho yetu ni mashaka tupu. End
Hakuna vita wala hatari yoyote mnajitisha wenyewe tu.

Mmekosa cha kuongea.
 
Naona wamasai was Ngorongoro wapewe shule kuhusu kupotea kwa hifadhi hiyo, wawe wazalendo kwa kupisha Hifadhi na kutafutiwa maneo Rafiki na Maisha yaendele kwa kutimiziwa huduma zote muhimu za kijamii
 
Wewe si ulikuwa huko huko Usalama kabla hujafurushwa,ulisaidia nini kuliepusha hilo lisitokee??
 
Muhimu kuwa na uwiano wa idadi ya watu wanaotakiwa kuwepo huko. Lakini nasikitika kusikia kuwa Kuna mahoteli ya kitali yaliyojengwa bila Environmental Assessment Impact. Ngorongoro ni Eden ya Leo duniani. Iwekewe masharti ya faida pande zote mbili.
 
Mgogoro wa ardhi ya wamasai kule ngorongoro usiposhughulikiwa kwa hekima na busara basi waweza geuka kuwa kitisho kikubwa cha usalama wa Taifa kwa sababu kama nilivyowahi sema hapo zamani kwenye makala yangu jinsi idara zetu za usalama zimejikita na siasa kiasi mataifa yakigeni yanatengeneza vita yetu wenyewe kwa wenyewe bila kujuwa na mwisho tunaona haya tunayaona.

Bila kuishutumu nchi awaye yoyote ila nataka kuamini mgogoro wa Ngorongoro ni moja ya usatadi mkubwa wa ki intelligence wa mataifa jirani kutuweka njia panda kama Taifa.

Huu mgogoro sio wakuubeza wala kuuchukua poa maana unaweza leta maafa yanayo onekana na yasio onekana na mwisho uchumi wetu ktk secta ya utalii.
Niukweli mchungu usio pingika kupitia vyanzo tofauti vya taarifa huu mgogoro unaweza hata kuatarisha usalama ndani ya serikali na hata idara nyeti za taifa.

Hakuna mmasasi atakubali kuondoka ngorongoro... Nakama wataondolewa basi serikali itajiandaa na visasi vya ndani kwa ndani na mwisho watarudi tena ktk ardhi yao.

Vita ya ngorongoro haina mshindi na kila anaye shadadia hili janga hili nikwamba hajuwi unyeti wa hili swala na vile madhara yake yatakuwa makubwa kwa taifa na uchumi.

Vita inapiganwa pale Israel na Palestinian ni ugomvi wa ardhi nikweli Tz nikubwa ila kumuondoa mtu mahali pana asili ya uwepo wao nikumtoboa macho while akikuangalia.

Tumechelewa sana na tumekumbuka shuka kumekucha while wenye remote wakiwa mbali na kumchezesha mwanasesere ndani ya taifa.

Tulikuwa wapi mpaka watu wanaingia eneo la hifadhi nakuzidi idadi ilikubalika? Mbaya zaidi kwa hali ya sasa wapo vijana na wasomi ktk jamii ile wengine wapo ktk mifumo yetu ya usalama na nje ya taifa hii vita sio vita nzuri.

Ni vita mbaya ambayo kama taifa na serikali ijitafaka na kuja na njia mbadala kuepusha visasi kule ngorongoro.

Nimalizie kwa kusema idara zetu za usalama ikiwa hazitokuwa makini na kitisho cha idara za mataifa yakigeni kuligawa hili taifa na kuhamgaika na siasa za ndani basi sitoshangaa kuona mambo hayakudhaniwa.

Wakati mataifa jirani yanapanga kutukamua nakutugawa idara zetu zipo very biz na mambo ya huyu kasema nini au kufanya nini kwenye siasa. Wakati idara zinapambana na upinzani wenzetu wanacheza na malizetu kama mali zao.

Nita waambia jambo la ajabu sana sana na mimi naomba nionyeshe ni jinsi gani mfumo wetu wakiusalama tusipo uwangalia tunakwenda kulitesa hili taifa.
Niwakumbushe tukio la hivi majuzi, tukio hili sio la kawaida ambapo Rais wetu alifanya safari yakikazi nchi ya jirani ya Mozambique nakukutana na Rais wa taifa lile namoja ya mambo waliongea ni issue ya usalama ktk ukanda wa mpaka wa kusini. Baada ya ile safari Rais alirudi Tz.
Amini usiamini Rais wa Rwanda haikupita siku chache alienda Mozambique na ktk mambo ya ajabu alio yafanya ambayo ni fedhea kwa taifa nakama kutuzaba kibao cha uso. Kagame ali ruhusu kuhojiwa mmoja ya magaida na kusema hao magaidi nikutoka Tz na walikuwa wakiomba radhi. Baada ya hapo ile taarifa ilirushwa ktk vyombo vya kimataifa huku Rwanda ikijitapa tangu waingie Mozambique magaidi wakoma na wale magaidi wakakiri kweli Rwanda imewachapa nakuwadhoofisha.

Ndugu zangu kwa mtu asie juwa anaweza kuona tukio hili nilakawaida ila sio lakawaida. Rwanda nikama wamelipiza kisasi kutokana na uwepo wetu kule Kongo na pia kwa wale hamjuwi Rwanda imekuwa na mgogoro na Tz wachinichini tangu enzi za Kikwete.
Well nisiandike sana ila yapo mambo ni siri sana na nikitisho cha kesho ya Tz na Tanganyika.

Nilazima tuchaguwe moja ili kutoka hapa tulipo nje ya hapo kesho yetu ni mashaka tupu. End
Binafsi nimekuelewa Sana!!Tanzania ilipoteza usalama wake kwa kuifanya idara itumike kuisaidia CCM kushika madaraka badala ya kujikita kwenye ujasusi wa kiuchumi wakajikita kwenye ujasusi wa ki CCM!!
 
Mgogoro wa ardhi ya wamasai kule ngorongoro usiposhughulikiwa kwa hekima na busara basi waweza geuka kuwa kitisho kikubwa cha usalama wa Taifa kwa sababu kama nilivyowahi sema hapo zamani kwenye makala yangu jinsi idara zetu za usalama zimejikita na siasa kiasi mataifa yakigeni yanatengeneza vita yetu wenyewe kwa wenyewe bila kujuwa na mwisho tunaona haya tunayaona.

Bila kuishutumu nchi awaye yoyote ila nataka kuamini mgogoro wa Ngorongoro ni moja ya usatadi mkubwa wa ki intelligence wa mataifa jirani kutuweka njia panda kama Taifa.

Huu mgogoro sio wakuubeza wala kuuchukua poa maana unaweza leta maafa yanayo onekana na yasio onekana na mwisho uchumi wetu ktk secta ya utalii.
Niukweli mchungu usio pingika kupitia vyanzo tofauti vya taarifa huu mgogoro unaweza hata kuatarisha usalama ndani ya serikali na hata idara nyeti za taifa.

Hakuna mmasasi atakubali kuondoka ngorongoro... Nakama wataondolewa basi serikali itajiandaa na visasi vya ndani kwa ndani na mwisho watarudi tena ktk ardhi yao.

Vita ya ngorongoro haina mshindi na kila anaye shadadia hili janga hili nikwamba hajuwi unyeti wa hili swala na vile madhara yake yatakuwa makubwa kwa taifa na uchumi.

Vita inapiganwa pale Israel na Palestinian ni ugomvi wa ardhi nikweli Tz nikubwa ila kumuondoa mtu mahali pana asili ya uwepo wao nikumtoboa macho while akikuangalia.

Tumechelewa sana na tumekumbuka shuka kumekucha while wenye remote wakiwa mbali na kumchezesha mwanasesere ndani ya taifa.

Tulikuwa wapi mpaka watu wanaingia eneo la hifadhi nakuzidi idadi ilikubalika? Mbaya zaidi kwa hali ya sasa wapo vijana na wasomi ktk jamii ile wengine wapo ktk mifumo yetu ya usalama na nje ya taifa hii vita sio vita nzuri.

Ni vita mbaya ambayo kama taifa na serikali ijitafaka na kuja na njia mbadala kuepusha visasi kule ngorongoro.

Nimalizie kwa kusema idara zetu za usalama ikiwa hazitokuwa makini na kitisho cha idara za mataifa yakigeni kuligawa hili taifa na kuhamgaika na siasa za ndani basi sitoshangaa kuona mambo hayakudhaniwa.

Wakati mataifa jirani yanapanga kutukamua nakutugawa idara zetu zipo very biz na mambo ya huyu kasema nini au kufanya nini kwenye siasa. Wakati idara zinapambana na upinzani wenzetu wanacheza na malizetu kama mali zao.

Nita waambia jambo la ajabu sana sana na mimi naomba nionyeshe ni jinsi gani mfumo wetu wakiusalama tusipo uwangalia tunakwenda kulitesa hili taifa.
Niwakumbushe tukio la hivi majuzi, tukio hili sio la kawaida ambapo Rais wetu alifanya safari yakikazi nchi ya jirani ya Mozambique nakukutana na Rais wa taifa lile namoja ya mambo waliongea ni issue ya usalama ktk ukanda wa mpaka wa kusini. Baada ya ile safari Rais alirudi Tz.
Amini usiamini Rais wa Rwanda haikupita siku chache alienda Mozambique na ktk mambo ya ajabu alio yafanya ambayo ni fedhea kwa taifa nakama kutuzaba kibao cha uso. Kagame ali ruhusu kuhojiwa mmoja ya magaida na kusema hao magaidi nikutoka Tz na walikuwa wakiomba radhi. Baada ya hapo ile taarifa ilirushwa ktk vyombo vya kimataifa huku Rwanda ikijitapa tangu waingie Mozambique magaidi wakoma na wale magaidi wakakiri kweli Rwanda imewachapa nakuwadhoofisha.

Ndugu zangu kwa mtu asie juwa anaweza kuona tukio hili nilakawaida ila sio lakawaida. Rwanda nikama wamelipiza kisasi kutokana na uwepo wetu kule Kongo na pia kwa wale hamjuwi Rwanda imekuwa na mgogoro na Tz wachinichini tangu enzi za Kikwete.
Well nisiandike sana ila yapo mambo ni siri sana na nikitisho cha kesho ya Tz na Tanganyika.

Nilazima tuchaguwe moja ili kutoka hapa tulipo nje ya hapo kesho yetu ni mashaka tupu. End
Usalama wa taifa inabidi wawe makini. Wanatumika kisiasa...
 
Enyi Wamasai ardhi ya nchi hii ni kubwa na ardhi ya matumizi ya kibinadamu ni kubwa sana hebu kuweni wazalendo muachie wanyamapori nao ardhi yao
Hatuachi. Ukaawaambie Wamarangu, Wakilema na Wakirua, watoke waache mlima ili theluji irudi. Waambie Wapare watoke milimani ili TFS wakabidhiwe tuhifadhi misitu. Waambie wapemba waache kuzaliana ili kisiwa kisijae na kutovutia utalii.
Acheni kuwaonea watu.
Jikite kwenye dhima ya mleta post. Tumainiel ana pointi.
 
Muhimu kuwa na uwiano wa idadi ya watu wanaotakiwa kuwepo huko. Lakini nasikitika kusikia kuwa Kuna mahoteli ya kitali yaliyojengwa bila Environmental Assessment Impact. Ngorongoro ni Eden ya Leo duniani. Iwekewe masharti ya faida pande zote mbili.
Wanaolaumiwa ni wamasai ambao hawana hizo hoteli huko crater.

Wenye mahoteli huko wanaonekana wenye haki na watunzaji wa mazingira kuliko wamasai waliowakuta huko.
 
Mgogoro wa ardhi ya wamasai kule ngorongoro usiposhughulikiwa kwa hekima na busara basi waweza geuka kuwa kitisho kikubwa cha usalama wa Taifa kwa sababu kama nilivyowahi sema hapo zamani kwenye makala yangu jinsi idara zetu za usalama zimejikita na siasa kiasi mataifa yakigeni yanatengeneza vita yetu wenyewe kwa wenyewe bila kujuwa na mwisho tunaona haya tunayaona.

Bila kuishutumu nchi awaye yoyote ila nataka kuamini mgogoro wa Ngorongoro ni moja ya usatadi mkubwa wa ki intelligence wa mataifa jirani kutuweka njia panda kama Taifa.

Huu mgogoro sio wakuubeza wala kuuchukua poa maana unaweza leta maafa yanayo onekana na yasio onekana na mwisho uchumi wetu ktk secta ya utalii.
Niukweli mchungu usio pingika kupitia vyanzo tofauti vya taarifa huu mgogoro unaweza hata kuatarisha usalama ndani ya serikali na hata idara nyeti za taifa.

Hakuna mmasasi atakubali kuondoka ngorongoro... Nakama wataondolewa basi serikali itajiandaa na visasi vya ndani kwa ndani na mwisho watarudi tena ktk ardhi yao.

Vita ya ngorongoro haina mshindi na kila anaye shadadia hili janga hili nikwamba hajuwi unyeti wa hili swala na vile madhara yake yatakuwa makubwa kwa taifa na uchumi.

Vita inapiganwa pale Israel na Palestinian ni ugomvi wa ardhi nikweli Tz nikubwa ila kumuondoa mtu mahali pana asili ya uwepo wao nikumtoboa macho while akikuangalia.

Tumechelewa sana na tumekumbuka shuka kumekucha while wenye remote wakiwa mbali na kumchezesha mwanasesere ndani ya taifa.

Tulikuwa wapi mpaka watu wanaingia eneo la hifadhi nakuzidi idadi ilikubalika? Mbaya zaidi kwa hali ya sasa wapo vijana na wasomi ktk jamii ile wengine wapo ktk mifumo yetu ya usalama na nje ya taifa hii vita sio vita nzuri.

Ni vita mbaya ambayo kama taifa na serikali ijitafaka na kuja na njia mbadala kuepusha visasi kule ngorongoro.

Nimalizie kwa kusema idara zetu za usalama ikiwa hazitokuwa makini na kitisho cha idara za mataifa yakigeni kuligawa hili taifa na kuhamgaika na siasa za ndani basi sitoshangaa kuona mambo hayakudhaniwa.

Wakati mataifa jirani yanapanga kutukamua nakutugawa idara zetu zipo very biz na mambo ya huyu kasema nini au kufanya nini kwenye siasa. Wakati idara zinapambana na upinzani wenzetu wanacheza na malizetu kama mali zao.

Nita waambia jambo la ajabu sana sana na mimi naomba nionyeshe ni jinsi gani mfumo wetu wakiusalama tusipo uwangalia tunakwenda kulitesa hili taifa.
Niwakumbushe tukio la hivi majuzi, tukio hili sio la kawaida ambapo Rais wetu alifanya safari yakikazi nchi ya jirani ya Mozambique nakukutana na Rais wa taifa lile namoja ya mambo waliongea ni issue ya usalama ktk ukanda wa mpaka wa kusini. Baada ya ile safari Rais alirudi Tz.
Amini usiamini Rais wa Rwanda haikupita siku chache alienda Mozambique na ktk mambo ya ajabu alio yafanya ambayo ni fedhea kwa taifa nakama kutuzaba kibao cha uso. Kagame ali ruhusu kuhojiwa mmoja ya magaida na kusema hao magaidi nikutoka Tz na walikuwa wakiomba radhi. Baada ya hapo ile taarifa ilirushwa ktk vyombo vya kimataifa huku Rwanda ikijitapa tangu waingie Mozambique magaidi wakoma na wale magaidi wakakiri kweli Rwanda imewachapa nakuwadhoofisha.

Ndugu zangu kwa mtu asie juwa anaweza kuona tukio hili nilakawaida ila sio lakawaida. Rwanda nikama wamelipiza kisasi kutokana na uwepo wetu kule Kongo na pia kwa wale hamjuwi Rwanda imekuwa na mgogoro na Tz wachinichini tangu enzi za Kikwete.
Well nisiandike sana ila yapo mambo ni siri sana na nikitisho cha kesho ya Tz na Tanganyika.

Nilazima tuchaguwe moja ili kutoka hapa tulipo nje ya hapo kesho yetu ni mashaka tupu. End
Wewe mleta mada kuwa Siriaz kidogo ujue! Kawaulize Wamakomde GESI walitoa au hawakutoa??? Kawaulize Wakurya Eneo la Mgodi wa North Mara walitoa au hawakutoa???
Halafu nenda Kawaulize Wazanaki eneo la Mgodi wa Meremeta likiwa na kambi ya Jeshi, shule nk walitoa au hawakutoa. Kwa kifupi Serikali haijaaaamua kuwatoa. Ikiamua kuwema Siasa na Propaganda pembeni Hao walioko Ngorongoro wanahama hata jogoo akiwa hajawika!.
Tanzania ni yetu sote linapokuja suala la Maslahi ya Taifa tuweke pembeni Ukabila na Umimi, Tuiunge mkono Serikali Wamasai have to Leave the Land
 
Ndugu zangu wamasai wa ngorongoro kuweni waelewa tambueni umuhimu wa hifadhi hii tambueni kuwa hakuna tena uwezekano wa hifadhi kubeba presha ya idadi kubwa ya watu na mifugo inayoongezeka kila siku. Kwani ninyi kuwepo ngorongoro siyo watanzania? Na maki kama Handeni si bado ni watanzania tuu? Acheni ubishi usio na maslahi kwa nchi yetu pisheni na toeni ushirikiano kwa sererkali mpatiwe maeneo bora ya kuishi na kufanya maendeleo kama watanzania wengine ondokeni kwenye hifadhi maana kuishi ndani ya hifadhi ni chanzo cha umaskini kwa familia zinazoishi hapo kwakuwa sheria imeweka makatazo mengi ya kuzuia kufanya maendeleo.
 
Back
Top Bottom