musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
Wadau wasalaam
Hivi kila kitu mpaka kianzie playa
Kwanini kwenye score board tofauti ya muda wa kuanza mechi na kumalizika isiwe inaonekana,sio libaki swala la referee kwa discretion yake
Mfano muda mpira unaanza na stop watch ya referee viwe vinaonekana kwenye score board...mwisho tofauti ya muda wa stop watch na muda wa kumalizika mchezo ndo viamue muda wa kuongezwa
Hili nalo mpaka lianzie UEFA kweli?
Hivi kila kitu mpaka kianzie playa
Kwanini kwenye score board tofauti ya muda wa kuanza mechi na kumalizika isiwe inaonekana,sio libaki swala la referee kwa discretion yake
Mfano muda mpira unaanza na stop watch ya referee viwe vinaonekana kwenye score board...mwisho tofauti ya muda wa stop watch na muda wa kumalizika mchezo ndo viamue muda wa kuongezwa
Hili nalo mpaka lianzie UEFA kweli?