SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Waarabu wanapima kuwajua wazungu kama ni watu kamili kama wao au wana uhalifu kidogo kuwa binadamu kamili kama wao.
Hata nguruwe ukiwapa kichapo na jambia TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) tu bila kutumia akili zao.
Waarabu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa Wazungu ni waisraeli kuliko watu wa Palestinia na wachina. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa wapaleatina kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi ya israeli, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.
Nchi za Wazungu Ulaya zinameza maneno kusema zimuunga mkono israeli waziwazi kwa kuhofia kukosa nguruwe na nafaka wanazotupiwa na Waarabu.
Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha waarabu kuhu ubinadamu wa Wazungu Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mzungu ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.
Hata nguruwe ukiwapa kichapo na jambia TU kila mara wanageuka kuwa rafiki zako kwa njia ya conditioning (ushawishi) tu bila kutumia akili zao.
Waarabu wanajua kuwa rafiki mkubwa wa Wazungu ni waisraeli kuliko watu wa Palestinia na wachina. Magharibi wanajua kuwa huu ni wakati wa wapaleatina kurudisha hisani kwa marafiki zao wakubwa wa urusi na China kwa kuwaunga mkono kwenye dhiki Yao inayowapata sasa kama vile wao walivyowaunga mkono wakati wakitawaliwa na nchi ya israeli, wakati wa kujikomboa na wakati kuyaunda majeshi yao.
Nchi za Wazungu Ulaya zinameza maneno kusema zimuunga mkono israeli waziwazi kwa kuhofia kukosa nguruwe na nafaka wanazotupiwa na Waarabu.
Kufanya hivyo kitakuwa kipimo halisi cha waarabu kuhu ubinadamu wa Wazungu Maana binadamu kamili Yuko assertive. Mzungu ni muoga, ana aibu, na ana ubongo tegemezi.