Mgogoro wa Kidiplomasia wasababisha Timu ya RS Berkane kugoma kucheza dhidi ya USM Alger

Mgogoro wa Kidiplomasia wasababisha Timu ya RS Berkane kugoma kucheza dhidi ya USM Alger

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria dhidi ya RS Berkane ya Morocco umeshindikana kufanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi walizozikuta kwenye vyumba vya uwanjani wakidai sio zao.

Awali, RS Berkane walidai jezi zao zilizuiwa Uwanja wa Ndege walipowasili Algeria, wakawaambia hawataruhusiwa kuzitumia kwa kuwa zina Bendera ya Morocco, jambo ambalo lilipingwa na RS Berkane na kusisitiza wanataka kuzitumia jezi hizo la sivyo hawataingia uwanjani.

RS Berkane ilipofika katika vyumba vya uwanja, ikakuta jezi ambazo hazina bendera ya Morocco, ikagoma kuingia uwanjani na baada ya majadiliano marefu wameondoka uwanjani.

Wadau wanasubiri maamuzi kutoka kwa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Nusu Fainali nyingine ya kombe hilo Zamalek (Misri) 0-0 Dreams FC (Ghana).
 
Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria dhidi ya RS Berkane ya Morocco umeshindikana kufanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi walizozikuta kwenye vyumba vya
Sielewi, hivi jezi za kuchezea timu inapokua away zinaandaliwa na mwenyeji?! Nilijua mnakuja na jezi zenu na kwenye pre-match conference kila timu inaonesha jezi itakazotumia ili kama kuna mfanano wowote na jezi za timu ya nyumbani basi zinabadilishwa.

Kuhusu bendera ya taifa, jezi za clubs mara nyingi hua na bendera ya taifa leo ili kuonesha kua wanawakilisha taifa lao kwenye mashindano husika, sasa ukinambia RSB wamezuiwa kutumia jezi zao kwakua zina bendera ya taifa lao, nani kawazuia?! Je ni CAF?! Kama sio CAF mamlaka za serikali zinaingiaje kwenye mpira si watafungiwa hao Algeria??
 
another neutral ground match.

you do know its visa free to travel from algeria to Morocco and vice versa. but the boarders are completely closed and so are their embassies in each country.

generational hate is real.
 
Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria dhidi ya RS Berkane ya Morocco umeshindikana kufanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi walizozikuta kwenye vyumba vya uwanjani wakidai sio zao.

Awali, RS Berkane walidai jezi zao zilizuiwa Uwanja wa Ndege walipowasili Algeria, wakawaambia hawataruhusiwa kuzitumia kwa kuwa zina Bendera ya Morocco, jambo ambalo lilipingwa na RS Berkane na kusisitiza wanataka kuzitumia jezi hizo la sivyo hawataingia uwanjani.

RS Berkane ilipofika katika vyumba vya uwanja, ikakuta jezi ambazo hazina bendera ya Morocco, ikagoma kuingia uwanjani na baada ya majadiliano marefu wameondoka uwanjani.

Wadau wanasubiri maamuzi kutoka kwa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Nusu Fainali nyingine ya kombe hilo Zamalek (Misri) 0-0 Dreams FC (Ghana).
Mgogoro unafurahisha sana huo. Algeria hawakufanya vizuri kuingiza migogoro ya kisiasa baina ya nchi zao kwenye michezo ya CAF
 
Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria dhidi ya RS Berkane ya Morocco umeshindikana kufanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi walizozikuta kwenye vyumba vya uwanjani wakidai sio zao.

Awali, RS Berkane walidai jezi zao zilizuiwa Uwanja wa Ndege walipowasili Algeria, wakawaambia hawataruhusiwa kuzitumia kwa kuwa zina Bendera ya Morocco, jambo ambalo lilipingwa na RS Berkane na kusisitiza wanataka kuzitumia jezi hizo la sivyo hawataingia uwanjani.

RS Berkane ilipofika katika vyumba vya uwanja, ikakuta jezi ambazo hazina bendera ya Morocco, ikagoma kuingia uwanjani na baada ya majadiliano marefu wameondoka uwanjani.

Wadau wanasubiri maamuzi kutoka kwa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Nusu Fainali nyingine ya kombe hilo Zamalek (Misri) 0-0 Dreams FC (Ghana).
Ivi hakuna kamsemo kuwa Mwarabu mwenzio ni ndugu yako? Nakumbuka kuna dini fulani wanasema dinimet mwenzio ni ndg yako regardless anatoka wapi. Huu uadui ni wa nn?
 
Ndugu ktk imani lakini bado hawana undugu kivitendo, nitashangaa akilaumiwa USA na washirika wake kuwa wamesababisha kusiwepo na mechi.

cc
Maghayo
MK254
Punguza ujinga hayo mambo ya siasa usiyahusishe na dini.
 
Ivi hakuna kamsemo kuwa Mwarabu mwenzio ni ndugu yako? Nakumbuka kuna dini fulani wanasema dinimet mwenzio ni ndg yako regardless anatoka wapi. Huu uadui ni wa nn?
Waarabu wote sio ndugu kama ilivyo waafrika wote sio ndugu.Huhitaji upeo mkubwa kujua hilo.Wacha generalization waarabu wote sio wa dini moja.
 
Afadhari mechi haijachezwa wangeuana kwenye pitch hawa
 
No wonder Israel anawabonda kila uchao ,
Muarabu na muafrika tofauti yao ni ile rangi ila vitendo na tabia ni baba na mama mmoja
 
Kwenye siasa nyie ni maadui slio ndugu tena ktk imani?
Ww ni mpumbavu kwani kipindi jiwe ana wapiga risasi akina Lisu na kuwabambikia kesi akina Mbowe na Sugu hawakuwa wakatoliki wenzake?

Leo hii Ukraine na Urusi siwapo wanapigana vita na kuuwana kama panya wakati wote ni waothodox ,kanini wasiache kupigana kwasababu wote wanaamini dini moja?

Chanzo cha mgogoro kati ya nchi hizo mbili ni za kisiasa na sio kidini.
 
Back
Top Bottom