Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Tuliosomea unajimu wa nyota hapa tumekuelewa [emoji847]1: Sawa Ile Simba ilikuwa ni Bora sana.
Ilikuwa na wachezaji wazuri kama....
Miquesson.
Lwanga.
Mugalu.
Bwalya.
Kagere.
Dilunga nk.
2. Nguvu inayotumika uwanja wa Mkapa ilikuwa ni kubwa Sana.
Hakuna mchezaji yoyote Simba wa kufananisha na hao.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app