Mgombea Dkt. John Magufuli kuna wakati anamlaumu sana Rais John Magufuli

Mgombea Dkt. John Magufuli kuna wakati anamlaumu sana Rais John Magufuli

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Katika kpindi hiki kigumu kuna maajabu mengi sana yanaendelea kutokea. Kwa kiasi kikubwa chanzo cha maajabu yote haya ni huyu Tundu Lissu. Mfano wa maajabu ni suala la bei ya umeme. Kule Kigoma mgombea wa CCM Dkt.Magufuli amemlaumu na kumshangaa Rais Magufuli kwa kushindwa kuweka ahueni ya gharama za umeme.

Vivo hivyo na suala la uwepo wa Mtanzania mnyonge. Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani kilio kikubwa ilikuwa ni uwepo wa Mtanzania mnyonge ambaye amempigania kwa hali na mali. Amekuja huyu mgombea Dkt. Magufuli katika kuomba kura anamlaumu Rais Dkt. Magufuli kwa kushindwa kumuondolea unyonge. Kwa hiyo anaahidi miaka mitano atajitahidi.

Haaaa haaa Just Haaaaa haaa

119700095_3350624205029248_8867597526260120943_n.jpg
 
Nahisi ACT kiufundi wamejitoa tayari kwenye mbio za urais kuwaachia CHADEMA. Huyu Nondo ni ACT na inajulikana ACT ina mgombea urais, lakini ukiangalia aliyoandika Nondo hapo ni kama anamsifia Lissu wa CHADEMA.
 
Huoni Nyerere Hydroelectric power plant inajengwa, au huoni kwamba huyo John ameshachukua hatua kupunguza gharama za umeme? Aliondoa kero ya service charges ambayo kiukweli imesaidia sana.

Huyo Nondo na wewe hamna tofauti, ukisoma twita zake hana hoja!
 
Huoni Nyerere Hydroelectric power plant inajengwa, au huoni kwamba huyo John ameshachukua hatua kupunguza gharama za umeme? Aliondoa kero ya service charges ambayo kiukweli imesaidia sana.

Huyo Nondo na wewe hamna tofauti, ukisoma twita zake hana hoja...!!
Imeisha hiyoo kwa sasa ni YEYE [emoji3577]

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Huoni Nyerere Hydroelectric power plant inajengwa, au huoni kwamba huyo John ameshachukua hatua kupunguza gharama za umeme? Aliondoa kero ya service charges ambayo kiukweli imesaidia sana.

Huyo Nondo na wewe hamna tofauti, ukisoma twita zake hana hoja!

....lakini cha ajabu mgombea Urais John Pombe Magufuli anamlaumu Rais anayemaliza muda ndg John Pombe Magufuli kwa bei kubwa za umeme Tanzania!!
 
Tuna rais wa hovyo sn mashamba na limbukeni, mbaguzi na fisadi wa waziwazi
 
Katika kpindi hiki kigumu kuna maajabu mengi sana yanaendelea kutokea. Kwa kiasi kikubwa chanzo cha maajabu yote haya ni huyu Tundu Lissu. Mfano wa maajabu ni suala la bei ya umeme. Kule Kigoma mgombea wa CCM Dkt.Magufuli amemlaumu na kumshangaa Rais Magufuli kwa kushindwa kuweka ahueni ya gharama za umeme.

Vivo hivyo na suala la uwepo wa Mtanzania mnyonge. Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani kilio kikubwa ilikuwa ni uwepo wa Mtanzania mnyonge ambaye amempigania kwa hali na mali. Amekuja huyu mgombea Dkt. Magufuli katika kuomba kura anamlaumu Rais Dkt. Magufuli kwa kushindwa kumuondolea unyonge. Kwa hiyo anaahidi miaka mitano atajitahidi.

Haaaa haaa Just Haaaaa haaa

Huyu Mdingi Kuna muda namshukuru kwa kuiua CCM ,na tar 28 tunaizika rasmi.
Lissu Rais 2020
 
Magufuli alifuta FAO la kujitoa

Sasa huyyu Ni mtetezi wa wanyonge?

Kikwete aliwalipa watu fao la kujitoa

Magufuli Rudisha FAO la kujitoa
 
....lakini cha ajabu mgombea Urais John Pombe Magufuli anamlaumu Rais anayemaliza muda ndg John Pombe Magufuli kwa bei kubwa za umeme Tanzania!!
Hizi bei kazikuta, there's nothing he can do as running costs za tanesco ziko juu, hawezi kupunguza gharama za umeme as umeme bado hautoshi.

Tusiongee bila kufanya hata utafiti kidogo, naamini kama alivyoweza kufanya mengine, hata hili la gharama za umeme ataweza kupunguza lakini hadi umeme uwe wa kutosha.
 
Juzi kasema vijana hawana ajira wanadharaulika. Ni kweli awamu yake imefanya watu wadhaulike sana sijui na hili anamlaumu nani?.
 
Katika kpindi hiki kigumu kuna maajabu mengi sana yanaendelea kutokea. Kwa kiasi kikubwa chanzo cha maajabu yote haya ni huyu Tundu Lissu. Mfano wa maajabu ni suala la bei ya umeme. Kule Kigoma mgombea wa CCM Dkt.Magufuli amemlaumu na kumshangaa Rais Magufuli kwa kushindwa kuweka ahueni ya gharama za umeme.

Vivo hivyo na suala la uwepo wa Mtanzania mnyonge. Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani kilio kikubwa ilikuwa ni uwepo wa Mtanzania mnyonge ambaye amempigania kwa hali na mali. Amekuja huyu mgombea Dkt. Magufuli katika kuomba kura anamlaumu Rais Dkt. Magufuli kwa kushindwa kumuondolea unyonge. Kwa hiyo anaahidi miaka mitano atajitahidi.

Haaaa haaa Just Haaaaa haaa

Ivi mbona siku hizi sisikii tena Tanzania ya viwanda kulikoni jameni ?
 
Back
Top Bottom