Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa CHADEMA, Salum Mwalimu aendelea na kampeni huko Same

Uchaguzi 2020 Mgombea Mwenza wa CHADEMA, Salum Mwalimu aendelea na kampeni huko Same

Watakaoipigia kura CCM.

1. Wanaonufaika na uwepo wake madarakani.
2. Wajinga + wapumbavu.

Watakaopigia kura wapinzani Ni.
1. WanaCCM walioumizwa na serikali ya Magufuli mf: vyeti feki, kikokotoo.
2. Werevu wote.

Haya maneno yanaweza kuwa ya ukweli maeneo mengine, safari hii wanaoomba kura kwa CCM na wazee wa Kilimanjaro ambao vijana na wazee wangependa wawe kama wao.

Walioletwa na CCM ni wafanyabiasha walio fanikiwa na kuheshika sana huku, wakati ni kinyume kabisa na wanaoletwa na upinzani.

Sasa ukituambia Wafanya biashara wakubwa kama Mzee Shirima na wote ujumbe ni huo huo " kama umemwamini mtu katika biashara yako kwa miaka kumi mpaka kumi na tano unapata na unaendelea kupata hasara, jee uendelee kumuamini? " hili ndio swali tunalo ulizwa karibu Kilimanjaro yote, na wananchi wanaelekea Kibra.

Jee huku kwetu wafanya biashara tunao waheshimu na Maprofessors kwa kuwa ni Wapare au Wachaga ni wapumbavu na wajinga? Tusaidieni tupate uelewa wa pamoja na nyinyi watu wa mjini: Maprofessors na Matajiri wote tunao waheshimu huku Kilimanjaro kumbe ni Wapunbavu na ni wajinga !!!!!!!
 
SALUM MWALIMU: MNAAMBIWA MZAE WAKATI HUDUMA YA MAMA NA MTOTO NI MBOVU

Mgombea mwenza wa Urais kupitia CHADEMA, Salum Mwalimu akiwa Wilayani Same amesema, Rais Magufuli anawaambia watanzania wazae wakati huduma ya mama na mtoto ni mbovu.

Amesema Serikali ya Dkt. Magufuli ambaye bi Mgombea wa Urais kupitia CCM, imekuwa ikifanya biashara kwa akina mama wajawazito ambapo wakitaka kujifungua wanaambiwa waende na vifaa hospitalini.

Akigusia uwakilishi wa Vijana, Salum amesema "Vijana huu ni wakati wa kufanya maamuzi ili tukatetee maslahi ya vijana. Miaka yote tumekosa wawakilishi wa vijana kwenye ngazi za juu za maamuzi. Nitakuwa Makamu wa Rais wa kwanza mwenye umri ndogo.
-
Ameongeza kuwa, Rais Magufuli anaamini kwenye maendeleo ya vitu, anazunguka na kusema amenunua ndege lakini haziwasaidii chochote wananchi.

===========

Mpaka sasa ccm haijui cha kufanya ili kuizuia Chadema kuchukua nchi , Style mpya ya TRIANGLE ATTACK inayotumika na Chadema imewachanganya hawana cha kufanya , hawajui wamzuie nani kati ya Mwalimu , Mbowe , Mimi au Lissu


Hii ni Same ambako Mgombea mwenza amepata wasaa wa kumnadi Mgombea ubunge wa jimbo hilo ambaye ni Nangenjwa Kaboyoka


Kazi ndio kwanza imeanza
Naona mmechanganyikiwa sasa naona mmeanza kutuiga mpaka kofia!
 
Back
Top Bottom