Pre GE2025 Mgombea Mwenza wa Urais CCM, Dkt Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi wowote ndani na Nje ya CCM, ni Mzigo mzito kumnadi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kununua magoli ya Simba na Yanga ndio kazi za Rais hizo?
 
Anamzidi wapi,majina ya wana CCM yaliyopo midomoni mwa Watanzani ni January Malamba,Nape,Mwigulu Nchemba kidogo na Makonda sasa huo umaarufu wa nchimbi umetokea angani.
 
Dkt Nchimbi ambacho alishatukera wana CCM ni kusherehekea kifo cha Dkt Magufuli na kuendeleza vijembe. Sijui huu udhaifu ataumalizaje, japo kwa nafasi yake kama Katibu mkuu alitakiwa kuomba msamaha na kuponya mioyo ya kundi la Dkt Magufuli. Ila ninvyoona hawezi kuomba msamaha na mwisho itakuwa mwisho wake mpaka atapopatika rais ambaye ni pro Dkt Magufuli
 
Wote tu, kanda ya ziwa wana kazi pevu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…