Pre GE2025 Mgombea Mwenza wa Urais CCM, Dkt Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi wowote ndani na Nje ya CCM, ni Mzigo mzito kumnadi

Pre GE2025 Mgombea Mwenza wa Urais CCM, Dkt Emmanuel Nchimbi hana Ushawishi wowote ndani na Nje ya CCM, ni Mzigo mzito kumnadi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unpopular opinion: Nchimbi anamzidi vitu vingi sana Samia katika siasa kuanzia ndani ya chama mpaka nje.

Ukiwekwa uchaguzi ndani ya chama kati ya Samia na Nchimbi, Nchimbi anashinda asubuhi tu.

Samia amechagua makamu wa Rais anayemzidi nguvu ya kisiasa sorry to say this.

Ni hatari kwa siasa za nchi ya giza.
Umeona mbali sana naona kama refa atatuita kati kabla ya Oktoba 2025 au kabla ya 2030
 
Sukuma gang bado hamuamini yule mliyemtupa mbali ili kumpoteza kisiasa doon anakuwa boss wenu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sukuma wameshajimix wamecheza kete zao shida ni mkwere gang na alichoifanyia kambi ya lowasa hao shida ndo wanayo
 
Sasa Sheikh wanaCCM wao wamemchagua, wewe Chadema unasema mzigo.

Lakini si ndio vizuri ili ninyi wa kwenu mumnadi vizuri, au wewe ni CCM kutoka moyoni ila kwa nje ni Chadema?
 
Nimejaribu kumpamba hapa mtaani kidogo mama mwenye nyumba anirudishie kodi
 
Samia katazama mbali kisiasa, mwaka 2030 analiachia nchi kundi la Mkwere Hivyo katika kipindi kuelekea muda huu hajali sana nguvu na ushawishi wa Nchimbi.

Kumbuka kuwa Nchimbi ataingia ikulu ikitokea Samia atashindwa kuendelea kuongoza nchi kwa sababu zilizo juu ya uwezo wa kibinadamu. Na sio kinyume cha hapo.
Noted
 
Unpopular opinion: Nchimbi anamzidi vitu vingi sana Samia katika siasa kuanzia ndani ya chama mpaka nje.

Ukiwekwa uchaguzi ndani ya chama kati ya Samia na Nchimbi, Nchimbi anashinda asubuhi tu.

Samia amechagua makamu wa Rais anayemzidi nguvu ya kisiasa sorry to say this.

Ni hatari kwa siasa za nchi ya giza.
Tulia, endelea kula mchemsho
 
Sasa Sheikh wanaCCM wao wamemchagua, wewe Chadema unasema mzigo.

Lakini si ndio vizuri ili ninyi wa kwenu mumnadi vizuri, au wewe ni CCM kutoka moyoni ila kwa nje ni Chadema?
Wamemchagua au wameletewa?
 
Mashabiki wake tumo humu 🤣🤣🤣

Muhimu kwetu wananchi wengine ni kuchapa kazi

Hongera nyingi kwake
 
Hakuna mtu asiyetambua umuhimu wa Kibu D ndio maana jana kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba nikamuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Bado sielewi Vigezo ambavyo vimetumika Kumfanya Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM.

Nchimbi hana na wala hajawahi kuwa na Ushawishi wowote kwenye siasa za ndani na hata kwenye Majukwaa ya hadharani, Hata alipofukuzwa na Magufuli ndani ya ccm kwa kuwa Team Lowassa hakuna aliyemsikitikia, Afadhali hata Sophia Simba wanaccm walimpigania, hii maana yake ni kwamba, Sophia Simba alimzidi mno kwa Umaarufu Nchimbi.

Mtu wa aina hii kumpeleka kwenye majukwaa ya kuomba kura ni sawa na kujibebesha Gunia la Misumali, Hata huu Mkutano wa Mkuu wa CCM ambao umeratibiwa naye kama Katibu Mkuu wa Chama, ndio mkutano mkuu wa ccm uliododa zaidi kuliko mikutano mikuu yote tangu kuanzishwa kwa chama hicho.
Soma Pia: Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025


Naitabiria CHADEMA kampeni nyepesi zaidi kuliko Uchaguzi wowote tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi Nchini Tanzania, kazi ni kwenu Chadema, labda itumike tu mbeleko ya dola, lakini Je dola itakubali kutumika kubeba maji kwenye Tenda? Pipa litajaa?
Yale Yale ya wanamtandao. Wakifanikiwa kushindwa mwaka huu. Kwa gharama yoyote Nchimbi anakuja kuwa rais kulinfa maslahi ya waliomuweka hapo. Mr. Smile hajamtaja Jina kwa bahati mbaya.
 
Bado sielewi Vigezo ambavyo vimetumika Kumfanya Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM.

Nchimbi hana na wala hajawahi kuwa na Ushawishi wowote kwenye siasa za ndani na hata kwenye Majukwaa ya hadharani, Hata alipofukuzwa na Magufuli ndani ya ccm kwa kuwa Team Lowassa hakuna aliyemsikitikia, Afadhali hata Sophia Simba wanaccm walimpigania, hii maana yake ni kwamba, Sophia Simba alimzidi mno kwa Umaarufu Nchimbi.

Mtu wa aina hii kumpeleka kwenye majukwaa ya kuomba kura ni sawa na kujibebesha Gunia la Misumali, Hata huu Mkutano wa Mkuu wa CCM ambao umeratibiwa naye kama Katibu Mkuu wa Chama, ndio mkutano mkuu wa ccm uliododa zaidi kuliko mikutano mikuu yote tangu kuanzishwa kwa chama hicho.
Soma Pia: Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025


Naitabiria CHADEMA kampeni nyepesi zaidi kuliko Uchaguzi wowote tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi Nchini Tanzania, kazi ni kwenu Chadema, labda itumike tu mbeleko ya dola, lakini Je dola itakubali kutumika kubeba maji kwenye Tenda? Pipa litajaa?
Nchimbi aliyezidiwa na Makonda
 
Back
Top Bottom