Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Waulize askari wanaotuhumiwa kumpiga watakupa majibu.Kapigwaje? Wafuasi wake mlikuwa wapi? Au huwa mnatoa mikwara mkiwa humu mitandaoni tu?
Usijirushe ufahamuAcheni uzushi, lisu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM
Baada ya kupigwa na nani?View attachment 1599086
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti.
Tunatii sheria hatuingii kwenye mtego wenuKapigwaje? Wafuasi wake mlikuwa wapi? Au huwa mnatoa mikwara mkiwa humu mitandaoni tu?
Hivi hawa polisi wanapata wapi nguvu ya kumpiga mwanamke na kumchania nguo, ni udhaifu wa hali ya juu. Halafu utakuta ni polisi wa kiume wanadeal na wanawakeView attachment 1599086
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti.
Tackle 2Acheni uzushi, Lissu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM
Kalazwa kwenye miundombinu ya serikali 'mnayoipinga', shuka lina chata la MSD - shirika ambalo mnaweza mkaliuza kama alivyoahidi mgombea mwenza Salumu MwalimuView attachment 1599086
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti.
Ulitaka wa retaliate?.Kapigwaje? Wafuasi wake mlikuwa wapi? Au huwa mnatoa mikwara mkiwa humu mitandaoni tu?
Kwa hiyo polisi wanafaa lissu anaandaa vijana ila wametulia tuliiiiiiiAcheni uzushi, Lissu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM
Nemeipenda hii aina nyingine ya kufikiriAcheni uzushi, Lissu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM