minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ni Mtanzania asiye na Akili timamu pekee ataipigia CCM kuraHawafai kurudi madarakani hawa sio waadilifu wanafanya vitu visivyo na manufaa na takwimu zao za uwongo mtupu..Ili kuwapata wasiojitambua..