Mdomowabata
Member
- Sep 6, 2020
- 19
- 47
Sasa hao askari kwa tamaa gani kwa Hutu dem maana ana vimguu kama njiwa au kanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejifunza kuandika kama binagdamu lini? Hongera juzi ulikuwa na miguu minne na mkia mreeefu. Namtafuta mkufunzi wako! Wewe rudi kwenye zooAcheni uzushi, Lissu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM
Nuru i karibu ...kunakaribia kupambazukaView attachment 1599086
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti
Pia soma > John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo
Mnavyomuhofia mitano kwanza,mpaka mnatia huruma na mmeanza mapema sana kuvuruga amaniAcheni uzushi, Lissu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM
MUNGU amponye dada yetu, magu atamfuata shana, hana miaka 5 kuanzia sasaView attachment 1599086
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti
Pia soma > John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo
Tanzania sizani kama kuna polisi kasoma ,hawa huwa wanachukuliwa form four waliofeli wanapigishwa mgambo miezi 6 ,wanapewa magwanda ndio maana hamna wajuacho zaidi ya maelekezoHivi hawa polisi wanapata wapi nguvu ya kumpiga mwanamke na kumchania nguo, ni udhaifu wa hali ya juu. Halafu utakuta ni polisi wa kiume wanadeal na wanawake
Ina maana mbinu zooote walizofundishwa huko vyuoni zimebuma mpaka wanafikia hatua ya kupiga na kuchana nguo za wake za watu.
Moto wa Mlima Kilimanjaro unavyozimwa KIMASIKINI huwezi kuamini ndio TANAPA hii inayotoa 'GAWIO' kubwa serikalini huku ikishangiliwa na Mataga,Sasa hao askari kwa tamaa gani kwa Hutu dem maana ana vimguu kama njiwa au kanga.
Naona ya mbwa haikutoshi unahitaji ya punda soon utaipata.Naona nembo ya msd!!! Kumbe jpm baba lao
Dunia haimtaki ila sisi tunamtaka.Jiwe anazidi kuharibu nchi.
Mwambieni awachezee akina Akwilina asiicheze na PENTAGON.
Ushahidi unazidi kukusanywa.
DUNIA HAIMTAKI JIWE.
Unapigwa la katiAcheni uzushi, Lissu kaandaa makundi ya vijana wa kupiga watu ili wasingizie CCM
Nakumbuka kuna wakati Halima wa Kawe naye alidai kupiga na kuvunjwa mkono kumbe fake news za kuvunjwa mkono, hapa na Huyu ya Kulazwa ni move ya kuonewa huruma na kutaka kuleta ya picha ya kuonewa kumbe lenyewe ndio likorofi
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti
Pia soma > John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo
sijawahi kuyaamini maigizo ya chadema
Licha ya kipigo, alifikishwa mahakamani na baadae kupewa dhamana.
Habari na picha hii ni kwa mujibu wa tweet ya Chadema Kanda ya Serengeti
Pia soma > John Heche: Mgombea wetu wa ubunge Serengeti, Catherine Ruge na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya, ndugu Garatwa, wamepigwa na polisi na kuchaniwa nguo
AhaaaaaaaWamemchania nguo na kumuadhirisha, CCM wanasema wanapenda Wanawake weupe kumbe ni Zuga tu.