Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni mtu muhimu sana kwa siasa za DSM , analo jicho la 3 , maskani zote za wasela na waungwana ziko nyuma yakeMtoto halisi wa Ubungo Manzese yote wahuni wote wanamjua huyu mwamba.
Ova
Sasahivi akiulizwa anajibu tumpime kwa utendajingoja tuone
View attachment 1570317
Ni sahihi sana huyu jamaa kuingia bungeni akapambane na Ndugui mtu muovuNi mtu muhimu sana kwa siasa za DSM , analo jicho la 3 , maskani zote za wasela na waungwana ziko nyuma yake
Mkuu , kwahiyo unaona sawa Ubungo wakiwakilishwa na mhuni badala ya mtu makini kama kitila.Mtoto halisi wa Ubungo Manzese yote wahuni wote wanamjua huyu mwamba.
Ova
Vipi alikosa mafuliko? Mbona hujatuma?Hii ndio habari iliyozagaa mitaa yote ya jimbo la Ubungo, kwamba yule mwamba wa siasa za Ubungo ambaye pia ni Meya mstaafu, yule aliyewekewa pingamizi la kizushi, leo anaanza rasmi amsha amsha.
Hatari fire16 September 2020
Dar es Salaam, Tanzania
BONIFACE: AOMBA KURA / UBUNGO NI NYUMBANI
Nilianzia Uongozi wa mtaa hapa hapa, kisha udiwani na baadaye umeya hapahapa sasa nawaombeni ubunge wa hapa nikawawakilishe bungeni.
mafuriko yote hayo uyaoni mkuu?Vipi alikosa mafuliko? Mbona hujatuma?