Sijui tunaelekea wapi. Yaaani tumepora uchaguzi na tutakuwa na 100% wabunge wa CCM... then kuna maji.nga humu yanashangilia..
We are going to face serious ecomonic sanctions. Hii miaka 5 inaenda kuwa migumu migumu kimaisha like ever before... Tunaenda kupigika balaa. Yaani CCM tungeiba hata kdg na kuacha fairness kwa baadhi ya majimbo
Ni kutafuta sifa kwa Mkuu. Na wakurugenzi, Wakuu wa wilaya kuogopa kupoteza kazi zao.Njaa mbaya sana sana!!Kweli mimi sijui kwa nini wenzako wa ccm hawaoni shida kwa haya, mngeacha hata key mbember of parliaments warudi, hemu fikiri, Mbowe jamani? of all people, Mheshimiwa Mbowe?
Acha ujinga wako na wewe!Sijui tunaelekea wapi. Yaaani tumepora uchaguzi na tutakuwa na 100% wabunge wa CCM... then kuna maji.nga humu yanashangilia..
We are going to face serious ecomonic sanctions. Hii miaka 5 inaenda kuwa migumu migumu kimaisha like ever before... Tunaenda kupigika balaa. Yaani CCM tungeiba hata kdg na kuacha fairness kwa baadhi ya majimbo
Ni kutafuta sifa kwa Mkuu. Na wakurugenzi, Wakuu wa wilaya kuogopa kupoteza kazi zao.... Njaa mbaya sana sana!!...
Kabla ya kampeni kuisha nilishauri tume na Magu wafikirie kuwatangaza hawa wabunge wakubwa wa upinzani hata kama hawatashinda, ila mibavicha ikanitukanaKweli mimi sijui kwa nini wenzako wa ccm hawaoni shida kwa haya, mngeacha hata key mbember of parliaments warudi, hemu fikiri, Mbowe jamani? of all people, Mheshimiwa Mbowe?
Kabla ya kampeni kuisha nlishauri tume na Magu wafikirie kuwatangaza hawa wabunge wakubwa wa upinzani hata kama hawatashinda, ila mibavicha ikanitukana
Akili za kushikiliwa hii!! Hakuna kitu kama hichoSijui tunaelekea wapi. Yaaani tumepora uchaguzi na tutakuwa na 100% wabunge wa CCM. Then kuna watu humu wanashangilia..
We are going to face serious ecomonic sanctions. Hii miaka 5 inaenda kuwa migumu migumu kimaisha like ever before... Tunaenda kupigika balaa. Yaani CCM tungeiba hata kidogo na kuacha fairness kwa baadhi ya majimbo
Mkuu inasikitisha sana kuwa hilo watu hawalioni. Na mbaya zaidi hata JF iliyokuwa ikidhaniwa kuwa ni HOME OF GREAT THINKERS nayo ina watu wanashindwa kuelewa na kubaki kushangilia upumbavu huu wa karne uliofanyika.Sijui tunaelekea wapi. Yaaani tumepora uchaguzi na tutakuwa na 100% wabunge wa CCM. Then kuna watu humu wanashangilia..
We are going to face serious ecomonic sanctions. Hii miaka 5 inaenda kuwa migumu migumu kimaisha like ever before... Tunaenda kupigika balaa. Yaani CCM tungeiba hata kidogo na kuacha fairness kwa baadhi ya majimbo
Hiyo nayo ni sehemu ya Siasa!Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mgombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kwa tiketi ya (CHADEMA) Salome Makamba kwa tuhuma za kufanya fujo, kuchana karatasi za matokeo ya kura na kumjeruhi Msimamizi wa Uchaguzi katika kituo cha kuhesabia kura cha shule ya msingi Bugweto "B".
Hebu nukuu matusi ya Lissu tuyaone ndugu. Usiwe pimbi kiasi hicho.Mgombea Urais wa CDM alikuwa anajikita kwenye matusi zaidi kuliko kuwanadi Wagombea Ubunge na udiwani wakati alipokuwa jukwaani.
Matokeo yake ndo yanaanza kuonekana Sasa.